Nyumba inapangishwa Mbezi, Dsm

Nyumba inapangishwa Mbezi, Dsm

Mbilimbi

Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
32
Reaction score
3
Nyumba ipo Dar es salaam, Mbezi Luis kibanda cha mkaa, Morogoro road. Vyumba 3 vya kulala, sebule kubwa, vyoo 2, stoo, jiko. Chumba kimoja kinajitegemea kwa choo, maji yapo, umeme upo.

Nyumba imezungushiwa fency, kodi 250,000 kwa mwezi. Kodi inaanzia miezi 6.

Mawasiliano ni 0766 47 47 76 na 0776 47 47 48..

Karibu..
 
Nyumbo ipo Dar es salaam maeneo ya Mbezi Luis Kibanda cha Mkaa Morogoro Road.Ina Vyumba 3 vya kulala,Sebule kubwa,Vyoo 2,Stoo,Jiko,Chumba kimoja kinajitegemea kwa choo,Umeme upo,Maji Yapo,imezungushiwa fency ya waya,KODI KWA MWEZI 250,000 kodi inaanzia miezi 6.

Mawasiliano ni 0766 47 47 76 au 0776 47 47 48 karibu
 
Mimi sitafuti nyumba Bali natoa ombi kwa wale wote tuliosoma shule na kumaliza elimu ya msingi ktk shule ya msingi MAHAHA KATA YA SHISHANI TARAFA YA NDAGALU WILAYA YA MAGU MKOA MWANZA...wote kwa umoja wetu tusaidie kukarabati shule hiyo. Popote tulipo tufanye mawasiliano ilituone tunaisaidaje kuinua shule yetu.haijalishi kwa sasa unaelimu gani nauko wapi naunanafasi gani.
 
Nisaidieni kuwatsfuta wale wote tuliosoma shule ya msingi Mahaha Magu. Kuanzia1968----1988.ilituisaidie shule yetu.
 
Mimi sitafuti nyumba Bali natoa ombi kwa wale wote tuliosoma shule na kumaliza elimu ya msingi ktk shule ya msingi MAHAHA KATA YA SHISHANI TARAFA YA NDAGALU WILAYA YA MAGU MKOA MWANZA...wote kwa umoja wetu tusaidie kukarabati shule hiyo. Popote tulipo tufanye mawasiliano ilituone tunaisaidaje kuinua shule yetu.haijalishi kwa sasa unaelimu gani nauko wapi naunanafasi gani.

fal.a nini!...si uanzishe uzi wako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom