Nyumba Inapangishwa Dodoma

Nyumba Inapangishwa Dodoma

Msiri

Senior Member
Joined
Jan 10, 2010
Posts
124
Reaction score
100
Eneo ilipo: Area C, karibu kabisa na barabara ya Arusha.

Aina ya nyumba: Ex NHC. Vyumba viwili, jiko, sebule na choo. Standard yaani haijafanyiwa marekebisho ya ziada.

Kodi: shs 160,000 kwa mwezi. Wa kwanza kutoa offer anaipata.

Inapatikana muda wowote. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kupitia tajirika@gmail.com .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom