Sjui kama sheria ipo au laa, lkn laiti kama ingeweka utaratibu wa kusajili pia madalali local ili walipe kodi na TRA wangekusanya kodi ya kupangisha nchi nzima kwa kiwango cha 5% tu; sjui ingelikusanywa kiasi gani kwa mwaka. Nyie mlioko serikalini hizo shule mmeenda kusomea ujinga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.