Jamilajuma
Member
- Sep 27, 2010
- 19
- 0
Habari ma-great thinker!!
Nyumba mpya inapangishwa Bunju. Ina vyumba kama ifuatavyo;
Master bedroom (self contained) - 1
Vyumba vya kulala viwili (wanashare choo) - 2
Library/Study room - 1
Sebule -1
Dinning - 1
Kitchen na stoo
Choo cha wageni - 1
Sehemu cha kupumzikia - 1
Baraza la kubwa ya kupunga upepo - 1
Na pia ina servant quarter yenye chumba kimoja cha kulala, stoo na choo na bafu
Ina uzio na uwanja kwa watoto kucheza na matumizi mengineyo.
Gharama ni sh laki tano (Tsh 500,000) kwa mwezi.
Atakayehitaji tuwasiliane kwa namba 078 147 947, mimi ni mwenye nyumba na si dalali
Asante
Nyumba mpya inapangishwa Bunju. Ina vyumba kama ifuatavyo;
Master bedroom (self contained) - 1
Vyumba vya kulala viwili (wanashare choo) - 2
Library/Study room - 1
Sebule -1
Dinning - 1
Kitchen na stoo
Choo cha wageni - 1
Sehemu cha kupumzikia - 1
Baraza la kubwa ya kupunga upepo - 1
Na pia ina servant quarter yenye chumba kimoja cha kulala, stoo na choo na bafu
Ina uzio na uwanja kwa watoto kucheza na matumizi mengineyo.
Gharama ni sh laki tano (Tsh 500,000) kwa mwezi.
Atakayehitaji tuwasiliane kwa namba 078 147 947, mimi ni mwenye nyumba na si dalali
Asante