hapo pakinyesha mvua panajaa maji yanatapakaa mpaka kule shule ya sekondari na barabara ya Akachube kule kote. ujenzi wa hapo unataka uwe na pesa ndefu ili kuina msingi na uwe na gari ya juu kuepuka kukwama. Nina wasiwasi kama 160m utapata mteja laabda useme 60m maana unauza uwanja.
NB: Nyumba za design hii nyingi ni za familia, so mnunuzi kuwa makini wakati wa ununuzi pia, ni nyumba zimejaaa MAJINI (MAPEPO).