Dalali KinG
Senior Member
- Jan 16, 2019
- 102
- 71
Aisee!Kanyumba kabayaaa kwa nje, sijakapenda.
Baba Debo akajidanganya alipie hapo eti tuhamie kisa ni Mbezi beach namkimbiza na mwiko wa mboga.
Nyumba haiendani na laki saba kwa mwezi, unless otherwise picha sio sahihi.
Picha ni sahihi ila nyumba siyo sahihiKanyumba kabayaaa kwa nje, sijakapenda.
Baba Debo akajidanganya alipie hapo eti tuhamie kisa ni Mbezi beach namkimbiza na mwiko wa mboga.
Nyumba haiendani na laki saba kwa mwezi, unless otherwise picha sio sahihi.