Shule ya sekondari NINGA iliyopo mkoani WILAYAN NJOMBE, ina wanafunzi 150,leo imepokea walimu 20 wa masomo ya GK-10,HG-2,HK-3,HL-3,GL-1 na wa michezo mmoja. Sasa jumla tuko walimu 30 na shule ina form1-3! N:B-nafikiri hizi ajira mwaka kesho ndo mwisho.