Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,028
- 1,793
Mkuu hamna anayemsemea humu.Hayo ni maneno yake mwenyewe facebook.Kwa nini umsemee??
Haya ni maneno ya mwanaJF ambaye amepotea jamvini muda mrefu kwenye wall yake facebook.Kama mnakumbuka mara ya mwisho ni pale alipotoa taarifa za uongo kuhusu Chenge kuvuliwa gamba kwenye kikao cha halmashauri kuu ya CCM kilichokuwa kikiendelea.
William Malecela:"One
more day to go, Igunga
wananchi simameni imara
mkatae siasa za ubabe,
vurugu na mahelikopta.
CCM all the way, Amani,
Utulivu na Mshikamano wa
Taifa, kama ni umasikini
hata huku USA tupo so na
Rome haikujegwa siku
moja, CHAGUENI CCM! -
Baharia Mutus!"
Hivi hili gumegume bado lipo.
Haya ni maneno ya mwanaJF ambaye amepotea jamvini muda mrefu kwenye wall yake facebook.Kama mnakumbuka mara ya mwisho ni pale alipotoa taarifa za uongo kuhusu Chenge kuvuliwa gamba kwenye kikao cha halmashauri kuu ya CCM kilichokuwa kikiendelea.
William Malecela:"One
more day to go, Igunga
wananchi simameni imara
mkatae siasa za ubabe,
vurugu na mahelikopta.
CCM all the way, Amani,
Utulivu na Mshikamano wa
Taifa, kama ni umasikini
hata huku USA tupo so na
Rome haikujegwa siku
moja, CHAGUENI CCM! -
Baharia Mutus!"
mzee umenichekesha sana,hivi gumegume maana yake nini?
............ Igunga
wananchi simameni imara
mkatae siasa za ubabe,
vurugu na mahelikopta...........