Nusura niwe muuaji!

Hivi ndivyo wanavyo muwazia Baltazar Egonga waume wa wanaweke alioshiriki nao uovu.
 
Ya hapa Duniani, tuwe tumalizana wenyewe.

Je wajua Frenk alikua Radhia kukuua kama ungeendelea kufatilia?.

Nachomaanisha ni kua, ukipata nafasi ya kumuondoa Mbaya wake( hasa kama baya ni kubwa) wee muondoke tuu.
Kuua si jambo rahisi,linaweza kukuharibia future yako kabisa!
 
Aisee pole sana ni Mungu tu kakusimamia hiyo situation kama mtu haijamkuta hawezi kuelewa.
Kweli kabisa,hata Hilo wazo la kwenda nyumbani naamini ni Mungu Tu alinipa ili kuniepusha na Hilo janga!
 
Asante mkuu,kama si upendo WA mama either ningekua mpweke kwenye nchi za watu au jela!
 
Kwa hiyo ulilala naye kwa ahadi ya kukupa chochote kitu lakini alipofunga zipu yake akaanza kukuonesha contempt. Huyo muue tu kama hakukufikisha at the pick lakini kama alikufikisha kwa kilele mwache kwa maana ngoma ni droo.

Uwe na siku njema.
 
Broh! Wale watu ni mashetani. Kuna dogo yeye alinikataa kabisa. Uzuri nilikuwa mkoa mwingine. Sijawahi kufikiria vibaya ila jamaa,nikifikiria afe,naona atakuwa haumii. Ni kumfungia sehemu ninyofoe kiungo kimoja kimoja. Namshukuru Mungu kwa kuniepusha nayote. Sehemu aliishindwa kwa muda mfupi na akafunga.
 
Basi lichukulie Kama funzo, next time uki ingia partnership Jitahidi uwe na nyaraka za kisheria.

zenye kuonyesha nani ana fanya nini, kaweka Nini, majukumu yake ni nini na iki tokea faida au hasara matokeo yake ni nini.
 
Mambo ya hela yanasababisha utengano sana kwenye jamii pamoja na mauaji... Kuna mbwa mmoja ilibaki kidogo nimchomee ndani bahati yake niliwahi kwa mwanasaikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…