Mapank atashikwa kilaini sana kama Urus angekuwa na Msaada Sadam na Libya walinyongwa mchana kweupe ....Mrus kama ananguvu US asingetia pua Korea, Syria kapigwa kalaani tu na Korea nako yuko.. Bila shaka Mrusi hataki vita ila mwenye akili atajua Mrusi anafanya biashara ya slaha Ili kama Mapank akishindwa amuuzie Nukes. Us kamsoma sana