Ntakua nmekosea kweli?

em jiweke ktk position ya mtoa mada, afu tafakari kdogo. Uje na jibu.

nimetafakari ila ningemuelewa huyo mpenzi wangu. kuna kipindi nilipataga matatizo na bf wangu alikua anapiga hata Mara 20 lakin nilikua tu sina mood ya kuongea nae kutokana na yaliyokua yamenisibu. sim inaita hadi inakata nashukuru alikuwaga muelewa wa hali yay juu kipindi hiko.

haina haja ya kuanza kuweka hizo negativity..... jaribu kufikiria positive tu hasa katika hiyo crisis girlfriend wake anyoiface
 
mkuu Jaslwas eti huyu ndiyo yule dada yetu wa mneli au nimwingine? tulia kijana usimfanyie kisirani mwenzio wakati yuko kwenye wakatimgumu,jibu text na usioneshe hasira zozote, kuwakaribu naye mmbembeleze akae sawa, wewe siku ya kwanza tu mwenzako yuko kwenye mambo mazito unahisi ameenda kusimamiwa show? wanawake akiwa kwenye hali hiyo hata hama ya game hana nduguyangu, we mgeni wa wanawake kweli.
 
Last edited by a moderator:
aaaaah alihitaji muda wa kuvuta bangi ili apate akili ya kupanga afanye nn baada ya hapo.......ila ujafanya fea aisee mwenzio unajua situation aliyonayo unafikiri atapata muda wa kujibu msg za boyfrnd kwa wakati huo? mpe muda atakuwa sawa baba

dah, watu mna kumbukumbu utafkiri mmekunywa maji ya memory card!!
 

ok. ! Ila jamaa kaenda mpaka kwao,kamkosa,, ok. Tusiisemee mioyo yao.
 
Duh,Mwanamke anatumia jani la mmea korofi!,bila shaka hilo jani ndilo limemfukuzisha kazi.Kwanza tumtibu aachane na Jamaica amani itapatikana.
 

Ukitulia una busara
 

Uyo Muda wote aliokua hataki kusikia chochote toka kwako, alikua ana deal na mipango ya kuchepuka TU aliwazwe sasa uko nako hakukueleweka kaamua atulize akili kwako, maana kama amefukuzwa kazi naamini kabisa wa kwanza kumtafuta ili amfariji na kumpa maneno ya faraja ni wewe, pamoja kukaa home na familia ikimpa mbinu ili ajipange. Sasa kujikausha na kutokujibu msg wala kupokea simu tena zaidi ya siku ndio nini??mbaya zaidi hata kama aliitaji muda wa kua peke yake ndio asikuambie ataenda wapi kutumia muda huo alone??mmh tht is childish, Tabu ya ku date vibinti below 25 (ingawa si wote) We jiulize kama hakutaka kusumbuliwa huo muda aliokua online whtsapp alikua anafanya nini hadi wewe asikujib kitu
 
Hapo jau mkuu.Hamna kitu hapo.Wewe si ndio wake wa shida na raha? Sasa iweje hataki kuwa na wewe wakati wa stress? Mimi shemeji yako akiwa na stress huwa haniachi skype,na akikwambia ofisini wamemtibua basi ujue siku hiyo ni kuongea mpaka asubuhi.Sasa huyu wako hizo stress alienda kuzipunguza wapi mkuu?!!

Kaa naye akupe maelezo ya kutosha ya alipokuwa jana.
 

mabinti wanajihidi ku win excuses hapa,, eti she needed sometime alone.,,
never.

Nimemuelewa sana mtoa, read along lines.,,
 
Umekosea Mkuu, binadamu katika hali kama hiyo ambayo imemtokea mrembo wako reaction yao hutofautiana, ila una haki ya kujua alikuwa wapi ulipoenda kwake na kutomkuta. Vinginevyo inabidi uwe naye karibu sana kipindi hiki kigumu kwake na pia kumsaidia katika zoezi la kutafuta ajira mpya. Kila la heri.
 
stress gan hzo anakuavoid kias hcho? Mi nadhan wakat huu ndo angekuwa anakaa na wewe karibu lakn sivyo! Huyu ana mambo mengne nyuma ya pazia. Utakuja stuka kuna mv mwngne anamfariji wakat huu we unaishia kutext na colz tu

umenifilisi maneno nlotaka kuandika
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…