H hps300 Senior Member Joined Feb 20, 2016 Posts 170 Reaction score 152 Apr 5, 2016 #1 Ufisadi wa NSSF Ukweli ni upi? IKIWA HIZI TAARIFA NI KWELI AMA SIKWELI HEBU WAHUSIKA WATUELEZE MAKE TUNAZIDI KUCHANGANYIKIWA SISI WANACHAMA HII MIFUKO
Ufisadi wa NSSF Ukweli ni upi? IKIWA HIZI TAARIFA NI KWELI AMA SIKWELI HEBU WAHUSIKA WATUELEZE MAKE TUNAZIDI KUCHANGANYIKIWA SISI WANACHAMA HII MIFUKO
Mahamba Yusufu Member Joined Aug 12, 2012 Posts 18 Reaction score 2 Apr 5, 2016 #2 Nchi hii imeenea majipu mwili mzima,kazi ya kuyatumbua ni shughuli pevu
M mwasu JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 10,161 Reaction score 11,551 Apr 5, 2016 #3 Na kweli walikuja na kutuaminsha hakuna wa kuziba pengo la Dau NSSF, kwa ulaji huu kweli nimeamini hakuna wa kumfikia katika huu utendaji ULIOTOKOTA.
Na kweli walikuja na kutuaminsha hakuna wa kuziba pengo la Dau NSSF, kwa ulaji huu kweli nimeamini hakuna wa kumfikia katika huu utendaji ULIOTOKOTA.
Kayenga jr JF-Expert Member Joined Feb 16, 2016 Posts 443 Reaction score 349 Apr 5, 2016 #4 hps300 said: Ufisadi wa NSSF Ukweli ni upi? IKIWA HIZI TAARIFA NI KWELI AMA SIKWELI HEBU WAHUSIKA WATUELEZE MAKE TUNAZIDI KUCHANGANYIKIWA SISI WANACHAMA HII MIFUKO Click to expand... Kabla haujaandika jaribu kuwa unaangalia kwanza hii issue imeshaandikwa na kujadiliwa kwa kirefu
hps300 said: Ufisadi wa NSSF Ukweli ni upi? IKIWA HIZI TAARIFA NI KWELI AMA SIKWELI HEBU WAHUSIKA WATUELEZE MAKE TUNAZIDI KUCHANGANYIKIWA SISI WANACHAMA HII MIFUKO Click to expand... Kabla haujaandika jaribu kuwa unaangalia kwanza hii issue imeshaandikwa na kujadiliwa kwa kirefu
H hps300 Senior Member Joined Feb 20, 2016 Posts 170 Reaction score 152 Apr 6, 2016 Thread starter #5 Kayenga jr said: Kabla haujaandika jaribu kuwa unaangalia kwanza hii issue imeshaandikwa na kujadiliwa kwa kirefu Click to expand... Kujadiliwa sawa hoja ni ukweli uko wapi? make mpaka leo vyombo mbalimbali vimeendelea kuandika na siyo mimi peke yangu, upo hapo. Kama una ukweli ulioupata baada ya kuijadili kwa muda mrefu kama unavodai hebu share na mimi basi
Kayenga jr said: Kabla haujaandika jaribu kuwa unaangalia kwanza hii issue imeshaandikwa na kujadiliwa kwa kirefu Click to expand... Kujadiliwa sawa hoja ni ukweli uko wapi? make mpaka leo vyombo mbalimbali vimeendelea kuandika na siyo mimi peke yangu, upo hapo. Kama una ukweli ulioupata baada ya kuijadili kwa muda mrefu kama unavodai hebu share na mimi basi