Noti mpya ya Kenya

Title uliyoweka inaonesha kama nchi ya Kenya wamebadili muonekano wa noti zao...
 
Title uliyoweka inaonesha kama nchi ya Kenya wamebadili muonekano wa noti zao...

Halafu Dr......mbona kama zitafanana na zetu.......?.......mi naogopa kuzichanganya ujue........hasa hao animolisi.........
 
Halafu Dr......mbona kama zitafanana na zetu.......?.......mi naogopa kuzichanganya ujue........hasa hao animolisi.........

Dr nilivyoelewa ni kuwa huyu bwana kaonesha ubunifu wake tu...

Nadhani sio noti rasmi hizi za huko Kenya...
 
It's only a private design project. Sio rasmi.

Ndio maana pale mwanzo nimekueleza kuwa heading ya hii thread inaghafilisha...

Huku ndani waonesha ni project yako kuonesha ubunifu, lakini kichwa cha mada chaonesha hizo ni noti rasmi...
 
Ndio maana pale mwanzo nimekueleza kuwa heading ya hii thread inaghafilisha...

Huku ndani waonesha ni project yako kuonesha ubunifu, lakini kichwa cha mada chaonesha hizo ni noti rasmi...

Ndio, ni haki, nimeibadili.
 
Haioneshi mabadiliko yangu, kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…