vijujako Member Joined Apr 11, 2015 Posts 38 Reaction score 16 Jun 4, 2015 #1 Hodi! Kwa mujibu ya katiba mpya picha ya mtu haitakiwi kutumii katika noti mpya wa Kenya. allAfrica.com: Kenya: CBK to Roll-Out New Currency This Week Kwa hiyo, kama designer nimebuni noti haya mpya kwa ajili ya kujifurahisha tu!
Hodi! Kwa mujibu ya katiba mpya picha ya mtu haitakiwi kutumii katika noti mpya wa Kenya. allAfrica.com: Kenya: CBK to Roll-Out New Currency This Week Kwa hiyo, kama designer nimebuni noti haya mpya kwa ajili ya kujifurahisha tu!
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,311 Reaction score 108,357 Jun 4, 2015 #2 Title uliyoweka inaonesha kama nchi ya Kenya wamebadili muonekano wa noti zao...
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Jun 4, 2015 #3 Watu8 said: Title uliyoweka inaonesha kama nchi ya Kenya wamebadili muonekano wa noti zao... Click to expand... Halafu Dr......mbona kama zitafanana na zetu.......?.......mi naogopa kuzichanganya ujue........hasa hao animolisi.........
Watu8 said: Title uliyoweka inaonesha kama nchi ya Kenya wamebadili muonekano wa noti zao... Click to expand... Halafu Dr......mbona kama zitafanana na zetu.......?.......mi naogopa kuzichanganya ujue........hasa hao animolisi.........
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,267 Jun 4, 2015 #4 nadhani unafanya kosa la jinai
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,311 Reaction score 108,357 Jun 4, 2015 #5 Preta said: Halafu Dr......mbona kama zitafanana na zetu.......?.......mi naogopa kuzichanganya ujue........hasa hao animolisi......... Click to expand... Dr nilivyoelewa ni kuwa huyu bwana kaonesha ubunifu wake tu... Nadhani sio noti rasmi hizi za huko Kenya...
Preta said: Halafu Dr......mbona kama zitafanana na zetu.......?.......mi naogopa kuzichanganya ujue........hasa hao animolisi......... Click to expand... Dr nilivyoelewa ni kuwa huyu bwana kaonesha ubunifu wake tu... Nadhani sio noti rasmi hizi za huko Kenya...
vijujako Member Joined Apr 11, 2015 Posts 38 Reaction score 16 Jun 4, 2015 Thread starter #6 Watu8 said: Dr nilivyoelewa ni kuwa huyu bwana kaonesha ubunifu wake tu... Nadhani sio noti rasmi hizi za huko Kenya... Click to expand... It's only a private design project. Sio rasmi.
Watu8 said: Dr nilivyoelewa ni kuwa huyu bwana kaonesha ubunifu wake tu... Nadhani sio noti rasmi hizi za huko Kenya... Click to expand... It's only a private design project. Sio rasmi.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,311 Reaction score 108,357 Jun 4, 2015 #7 vijujako said: It's only a private design project. Sio rasmi. Click to expand... Ndio maana pale mwanzo nimekueleza kuwa heading ya hii thread inaghafilisha... Huku ndani waonesha ni project yako kuonesha ubunifu, lakini kichwa cha mada chaonesha hizo ni noti rasmi...
vijujako said: It's only a private design project. Sio rasmi. Click to expand... Ndio maana pale mwanzo nimekueleza kuwa heading ya hii thread inaghafilisha... Huku ndani waonesha ni project yako kuonesha ubunifu, lakini kichwa cha mada chaonesha hizo ni noti rasmi...
vijujako Member Joined Apr 11, 2015 Posts 38 Reaction score 16 Jun 4, 2015 Thread starter #8 Watu8 said: Ndio maana pale mwanzo nimekueleza kuwa heading ya hii thread inaghafilisha... Huku ndani waonesha ni project yako kuonesha ubunifu, lakini kichwa cha mada chaonesha hizo ni noti rasmi... Click to expand... Ndio, ni haki, nimeibadili.
Watu8 said: Ndio maana pale mwanzo nimekueleza kuwa heading ya hii thread inaghafilisha... Huku ndani waonesha ni project yako kuonesha ubunifu, lakini kichwa cha mada chaonesha hizo ni noti rasmi... Click to expand... Ndio, ni haki, nimeibadili.
vijujako Member Joined Apr 11, 2015 Posts 38 Reaction score 16 Jun 4, 2015 Thread starter #9 Haioneshi mabadiliko yangu, kwa nini?
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,311 Reaction score 108,357 Jun 4, 2015 #10 vijujako said: Haioneshi mabadiliko yangu, kwa nini? Click to expand... coz you're not a forum moderator...only moderators can perform such changes...
vijujako said: Haioneshi mabadiliko yangu, kwa nini? Click to expand... coz you're not a forum moderator...only moderators can perform such changes...
Smatta JF-Expert Member Joined Nov 5, 2008 Posts 2,348 Reaction score 734 Jun 4, 2015 #11 vijujako said: Hodi! Kwa mujibu ya katiba mpya picha ya mtu haitakiwi kutumii katika noti mpya wa Kenya. allAfrica.com: Kenya: CBK to Roll-Out New Currency This Week Kwa hiyo, kama designer nimebuni noti haya mpya kwa ajili ya kujifurahisha tu! View attachment 256888 View attachment 256889 Click to expand... picha nzuri kweli, lakini nilishangaa nilipoona noti ya elfu tano kabla nijue wewe ndiye uliye design, hatuna 5000 note.
vijujako said: Hodi! Kwa mujibu ya katiba mpya picha ya mtu haitakiwi kutumii katika noti mpya wa Kenya. allAfrica.com: Kenya: CBK to Roll-Out New Currency This Week Kwa hiyo, kama designer nimebuni noti haya mpya kwa ajili ya kujifurahisha tu! View attachment 256888 View attachment 256889 Click to expand... picha nzuri kweli, lakini nilishangaa nilipoona noti ya elfu tano kabla nijue wewe ndiye uliye design, hatuna 5000 note.