North Korea Ina njaa muda Mrefu sana, ila jiulize njaa ya North Korea imetoka wapi? Njaa imetokana na Mabomu ya Marekani.
Marekani Alipiga Mabomu na kuua watu Takriban Milioni 8, na Kuifanya Ardhi yote isilimike. For years Wakorea wanabadili Ardhi yao kutoka Ardhi isiolimika mpaka Sasa North Korea Ni kati ya nchi zinazoongoza Uzalishaji wa matunda Duniani.
Hivyo Kuijudge North Korea ya miaka ya zamani kuwa na njaa bila kumponda alieleta hio njaa Na kuua mamilioni ya watu si fair.
Sasa hivi