Baba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasiNimependa kingereza chako ulichotumia ku-google: 'How many cars in North Korea'...najitahidi kuelewa ulichomaanisha lakini hadi sasa nimetoka kapa
Prove kama lugha hiyo unaijua.Baba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasi
Hawa lazima wawe masikini maana kule hawana dini na wanamuabudu Rais wao as god... Kazi kwakoView attachment 2235745Umaskini wa kujitakia
Wewe mwenye dini nchi yako ni ya ngapi kwa utajiri baada ya supa pawa wa mchongo marekani.Hawa lazima wawe masikini maana kule hawana dini na wanamuabudu Rais wao as god... Kazi kwako
Watasema propaganda.North Korea hakuna foleni kuna siku picha zilipigwa barabarani na watalii watoto wako katikati ya barabara wanacheza. Yani kupita magari ni nadra kwanza apartments za high ranking individuals zikiwa nje na hiyo barabara ndio kabisa hata maintenance hawafanyi ipasavyo.
Sasa ole wako uonekane unapiga picha bila ruhusa. Utajuta
Siku zote anaejifanya kukosoa lugha utakuta yeye kasoma kwa kuunga unga hata akitaka kuandika anatumia dictionary [emoji3]Baba usijifanye unajuwa English hapa hiyo lugha imelala. Ilikuwa tu hand mistake. Take it easy. Mimi Kwenye hiyo lugha nakutoa makamasi
Umewahi kutumia windows xp au vistaNaenara (browser) from North Korea
View attachment 2236056
Katika google hauna haja ya kuandika maneno mengi. Yaani angeweza andika 'cars in north korea' na majibu yangekuja.Nimependa kingereza chako ulichotumia ku-google: 'How many cars in North Korea'...najitahidi kuelewa ulichomaanisha lakini hadi sasa nimetoka kapa
Sisi tulianza na DOS, tukaingia na Windows NT baadae Windows Y2K then hiyo Xp.Umewahi kutumia windows xp au vista
Na wewe umeona kwamba user interface ya hiyo browaser ni kama ya xp au vista? Na hiyo red star ni kama MacSisi tulianza na DOS, tukaingia na Windows NT baadae Windows Y2K then hiyo Xp.
So hakuna kipya kwenye OS.
1.wana magari ya UmmaNorth Korea hakuna foleni kuna siku picha zilipigwa barabarani na watalii watoto wako katikati ya barabara wanacheza. Yani kupita magari ni nadra kwanza apartments za high ranking individuals zikiwa nje na hiyo barabara ndio kabisa hata maintenance hawafanyi ipasavyo.
Sasa ole wako uonekane unapiga picha bila ruhusa. Utajuta
Wewe umeamua kuwa mchekeshajiHivi mnanua kwa miundombinu Singapore wako vyema kuliko America.
America pa kawaida sana ni Kama pale Mnazi mmoja tu hivyo Korea pako poa.