fundi msati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 219
- 92
Habari wadau
Simu yangu nokia x2 rumia nadhani ina tatizo au labda ndio ipo hivi inikutavyo tatizo nikwamba
1,Nikiwa napakuwa baadhi ya App unigomea na kudai sijafikia huduma za google duka kifaa cheupe. Sasa kila nilifanyalo lina gonga mwamba nakushindwa ku pakua App
2,nikawa natumia kuingiza kwa kutumia kuhamisha kutoka simu nyengine ila baadhi nazo zikiingia inagoma kufunguka ikidai huduma ya google play haifanyi kazi kwenye simu yng
3,mnielekeze jinsi ya kulipia huduma zinazo itaji gharama nina App inaitaji nilipie ndio nitumie sasa naitajika kulipa kwa kitu wakiitacho Paypal sasa wajamani hata sijui nafanya nini yan wataalam msaada tafadhar
Simu yangu nokia x2 rumia nadhani ina tatizo au labda ndio ipo hivi inikutavyo tatizo nikwamba
1,Nikiwa napakuwa baadhi ya App unigomea na kudai sijafikia huduma za google duka kifaa cheupe. Sasa kila nilifanyalo lina gonga mwamba nakushindwa ku pakua App
2,nikawa natumia kuingiza kwa kutumia kuhamisha kutoka simu nyengine ila baadhi nazo zikiingia inagoma kufunguka ikidai huduma ya google play haifanyi kazi kwenye simu yng
3,mnielekeze jinsi ya kulipia huduma zinazo itaji gharama nina App inaitaji nilipie ndio nitumie sasa naitajika kulipa kwa kitu wakiitacho Paypal sasa wajamani hata sijui nafanya nini yan wataalam msaada tafadhar