Nokia X2 inanizinga msaada wenu tafadhali

fundi msati

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
219
Reaction score
92
Habari wadau
Simu yangu nokia x2 rumia nadhani ina tatizo au labda ndio ipo hivi inikutavyo tatizo nikwamba
1,Nikiwa napakuwa baadhi ya App unigomea na kudai sijafikia huduma za google duka kifaa cheupe. Sasa kila nilifanyalo lina gonga mwamba nakushindwa ku pakua App

2,nikawa natumia kuingiza kwa kutumia kuhamisha kutoka simu nyengine ila baadhi nazo zikiingia inagoma kufunguka ikidai huduma ya google play haifanyi kazi kwenye simu yng
3,mnielekeze jinsi ya kulipia huduma zinazo itaji gharama nina App inaitaji nilipie ndio nitumie sasa naitajika kulipa kwa kitu wakiitacho Paypal sasa wajamani hata sijui nafanya nini yan wataalam msaada tafadhar
 
mkuu naomba msaada,kwa upande wangu napata shida siku hizi kutumia App ya Mtalk kwenye Lumia Yangu running window 10,nimejaribu njia zote lakini imeshindikana kuipata JF ikanibidi ni download Tapatalk lakini nayo pia huduma ya JF haipatikani ndg yangu,nahitaji msaada wako ndg yangu. Ubarikiwe
 

Attachments

  • wp_ss_20170121_0004.png
    3 KB · Views: 54
  • wp_ss_20170123_0003.png
    10.5 KB · Views: 47
jaribu kusearch forums nyengine unazipata? kama unazipata itakuwa tatizo ni upande wa jf, waambie jukwaa la malalamiko. huwa kuna wakati jf inapotea na kurudi tapatalk (mtalk ni tapatalk)
 
jaribu kusearch forums nyengine unazipata? kama unazipata itakuwa tatizo ni upande wa jf, waambie jukwaa la malalamiko. huwa kuna wakati jf inapotea na kurudi tapatalk (mtalk ni tapatalk)
Ahsante sana Ndg yangu kwa msaada wako,kama ulivyosema naona tatizo litakuwa upande wa JF maana forums zingine niki search zipo ila kutoa hii tu forums pendwa JF,Goja nifanye kams ulivyonielekeza ndg yangu ahsante sana.
 
  • Dah mkuu kweli njia ni ndefu. mi sijaelewa hata ilo neno root nikufanyaje. Maana nimeifuata hiyo link ila nilichokuta nimeshindwa hata nianzie wap
  • Na hii costom rom nawezaje kuipata App yake ??
 
  • Dah mkuu kweli njia ni ndefu. mi sijaelewa hata ilo neno root nikufanyaje. Maana nimeifuata hiyo link ila nilichokuta nimeshindwa hata nianzie wap
  • Na hii costom rom nawezaje kuipata App yake ??
custom rom inahitaji kuroot simu, kueka custom recovery kisha ueke custom rom,

kama ni ngumu tafuta mtu akufanyie, custom rom huwezi eka kwa app.

ukieka custom rom kama cm12 utaisahau hio simu, itakuwa ya kisasa kabisa
 
custom rom inahitaji kuroot simu, kueka custom recovery kisha ueke custom rom,

kama ni ngumu tafuta mtu akufanyie, custom rom huwezi eka kwa app.

ukieka custom rom kama cm12 utaisahau hio simu, itakuwa ya kisasa kabisa
Poa acha ni mtafute mtaalam na bila shaka mpaka niwe mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…