M madivi Member Joined Jul 21, 2014 Posts 14 Reaction score 6 Jan 6, 2015 #1 Niaje wadau. Nahitaji msaada wenu, kwa hizo gari hapo ni ipi ambayo naweza kuitumia kibiashara na ni biashara ipi? Maana mimi nafikiria kufanya as a tax ya abiria, so maybe kuna mtu ana idea zaid ya hiyo na ni nzuri atakua amenisaidia. Shukran.
Niaje wadau. Nahitaji msaada wenu, kwa hizo gari hapo ni ipi ambayo naweza kuitumia kibiashara na ni biashara ipi? Maana mimi nafikiria kufanya as a tax ya abiria, so maybe kuna mtu ana idea zaid ya hiyo na ni nzuri atakua amenisaidia. Shukran.