Noah au Spacio

madivi

Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
14
Reaction score
6
Niaje wadau. Nahitaji msaada wenu, kwa hizo gari hapo ni ipi ambayo naweza kuitumia kibiashara na ni biashara ipi? Maana mimi nafikiria kufanya as a tax ya abiria, so maybe kuna mtu ana idea zaid ya hiyo na ni nzuri atakua amenisaidia.

Shukran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…