Nnahitaji Gari, Bajeti yangu ni 5M maximum 5.5 M.

Nnahitaji Gari, Bajeti yangu ni 5M maximum 5.5 M.

Kemby

Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
28
Reaction score
14
Habari za Leo wakuu?!!! Kama kichwa cha bhabari kinavyojieleza, hatimaye zile chenji chenji zimefika mbali nahitaji miongoni mwa magari haya Spacio ya 2001/2002, rav 4 short chasis, Raum, Opa n.k ili mradi iwe katika hali nzuri. Unaweza Ni Pm au kuweka maelezo yako hapa Jukwaani. Nawasilisha.

N.B naomba kujuzwa kuhusu hizi gari, mazda demio za mwaka 2003, kwa wanaozifahamu zipi ubora wake na matatizo yake?
 
nasubiri matabe wa magari waje na majibu maana mimi nina salio chini ya hiyo hela ulionayo ww nasubiri nione km na mm naweza pata gari hapa
 
Habari za Leo wakuu?!!! Kama kichwa cha bhabari kinavyojieleza, hatimaye zile chenji chenji zimefika mbali nahitaji miongoni mwa magari haya Spacio ya 2001/2002, rav 4 short chasis, Raum, Opa n.k ili mradi iwe katika hali nzuri. Unaweza Ni Pm au kuweka maelezo yako hapa Jukwaani. Nawasilisha.

N.B naomba kujuzwa kuhusu hizi gari, mazda demio za mwaka 2003, kwa wanaozifahamu zipi ubora wake na matatizo yake?
nipigie kwa namba 0714064767 upte gari unayo hitaji Kuna Toyota sprinta, spacio Toyota kwa bajeti yako
 
Wadau mimi ninahitaji gari kati ya hizi+ Suzuki swift 1300 manual au :A S-confused1:Starlet Carat,
 
Kuna Corolla Limited la 1998, very good condition, you will not regret. Halijawahi kufunguliwa Engine, kuchemsha na wala matatizo yoyote zaidi ya labda shock ups. Call 0786-427618 if interested.
 
Habari za Leo wakuu?!!! Kama kichwa cha bhabari kinavyojieleza, hatimaye zile chenji chenji zimefika mbali nahitaji miongoni mwa magari haya Spacio ya 2001/2002, rav 4 short chasis, Raum, Opa n.k ili mradi iwe katika hali nzuri. Unaweza Ni Pm au kuweka maelezo yako hapa Jukwaani. Nawasilisha.

N.B naomba kujuzwa kuhusu hizi gari, mazda demio za mwaka 2003, kwa wanaozifahamu zipi ubora wake na matatizo yake?

Njoo uchukue Demio Mazda ya 2001.
Bei 5.5M
Nataka ninunue tractor ya 55,000,000 Tshs ya "KILIMO KWANZA" kwa mkopo kwa kutanguliza 5.5M kwanza.

Call me through 0763 718328
 
Back
Top Bottom