NMB na Tigopesa

mbisom ramos

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
812
Reaction score
396
heshima mbele wadau,,,,
Leo mida ya saa tisa Nilihamisha pesa kiasi cha shiling Laki 440,,,,Kutoka akaunti yangu ya tigopesa kwenda kwenye akaunti yangu ya NMB chakushangaza mpaka sasa pesa haijafika kwenye akaunti yangu ya benki sijajua tatizo ni nin na wahudumu wamekuwa na majibu mepesi,,,msaada natakiwa kufanya nini kwa anayefaham
 
Hakikisha sms yenye ujumbe wa kuhamisha fedha huifuti na kama hadi kesho itakuwa bado nenda kwenye tawi lolote la NMB wape sms
 
Hakikisha sms yenye ujumbe wa kuhamisha fedha huifuti na kama hadi kesho itakuwa bado nenda kwenye tawi lolote la NMB wape sms

kwa bahati mbaya Sms nimeshaifuta,,,,,,,,ila nikiwapigia tigo wanadai kweli inaonekana nimefanya transaction,,,, vp naweza kupoteza haki yangu!?
 
Haipotei acha presha.kesho utaiona kwenye akaunti yako,mrdi uwe hujakosea namba.Mtandao sometimes unakuwa unasumbua.imenitokea mara nyingi kwenye line ya voda
 
Haipotei acha presha.kesho utaiona kwenye akaunti yako,mrdi uwe hujakosea namba.Mtandao sometimes unakuwa unasumbua.imenitokea mara nyingi kwenye line ya voda

sawa mkuu,,,,nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…