green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,308
- 35,852
Kama hujaset mipango yako fresh afu unavizia Advance Salary toka NMB utaumbuka jamaa hawa aminiki. Kuna njemba imelipia mzigo toka juzi ikaahidi kesho anakuja kumalizia kumbe alikua anavizia Advance Salary Sasa kule NMB wamegoma kutoa kanipigia simu nimpunguzie pesa aliyotoa ili enjoy Idd Elftr na familia. tuweke akiba ya pesa usile mpaka mbegu utaibika mjiniView attachment 1458646
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π πKama hujaset mipango yako fresh afu unavizia Advance Salary toka NMB utaumbuka jamaa hawa aminiki. Kuna njemba imelipia mzigo toka juzi ikaahidi kesho anakuja kumalizia kumbe alikua anavizia Advance Salary Sasa kule NMB wamegoma kutoa kanipigia simu nimpunguzie pesa aliyotoa ili enjoy Idd Elftr na familia. tuweke akiba ya pesa usile mpaka mbegu utaibika mjiniView attachment 1458646
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umetoa kweli au masikhara, maana Mimi tokea juzi inagomaMbona mm nmevuta leo haijapita ata daka sifuri
True wamegoma kutoa nadhani wamezidiwa sababu ya sikukuu hizi mvumilieKama hujaset mipango yako fresh afu unavizia Advance Salary toka NMB utaumbuka jamaa hawa aminiki. Kuna njemba imelipia mzigo toka juzi ikaahidi kesho anakuja kumalizia kumbe alikua anavizia Advance Salary Sasa kule NMB wamegoma kutoa kanipigia simu nimpunguzie pesa aliyotoa ili enjoy Idd Elftr na familia. tuweke akiba ya pesa usile mpaka mbegu utaibika mjiniView attachment 1458646
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia haijui baba kaishiwa unaambiwa ngoja baba aje,au we si mwanaume pambana.Thus Mimi mwanaume mwenzangu akinililia shida huwa namsaidia sababu najua.Bila mwanaume Hakuna luku,maji,nauli,nk.Mjini unaamka pesa,unalala pesa.Mkuu kuna wakati maisha yanasimama wima, achana na hiyo ya kuweka akiba sometimes unakosa hata ya kuendesha maisha.
Hiyo huduma sometimes huwa inasumbua sujui network au uhuni wao tu.
Hakuna mwenye kupenda shida ila mahitaji yako palepale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatoka ikikusumbua unatakiwa urudie.mkuu umetoa kweli au masikhara, maana Mimi tokea juzi inagoma
Hatufanani katika majukumu ya kila mwezi, ni kweli unaweza kuwa na mradi, ila kuna wakati pesa zinahitajika zaidi. Hivyo kwa kuwa Shida hazifanani kwa wakati mmoja tutapishana pia wakati wa kuhitaji mkopo.Dah, wazee mnatisha, Doto si amelipa mishahara tarehe 22 tu hapo? Leo tumeshaanza kuchukua salary advance?
Tujitahidi kutafuta shughuli za ziada, kama mkeo ni mama wa nyumbani mfundishe shughuli yoyote itakayoingiza kipato nyumbani, hata kama ni kidogo tu.
Awamu hii kuna Watu watakuwa MABILIONEA wa kutisha tangu uhuru wa TANGANYIKA mwaka 1961 kuzaliwa.Dah, wazee mnatisha, Doto si amelipa mishahara tarehe 22 tu hapo? Leo tumeshaanza kuchukua salary advance?
Tujitahidi kutafuta shughuli za ziada, kama mkeo ni mama wa nyumbani mfundishe shughuli yoyote itakayoingiza kipato nyumbani, hata kama ni kidogo tu.
Kheri huko kwenye riba 20% mie nilitaka pesa sehem nikaambiwa riba 40% lolPamoja na kwamba sio ya kuaminika, ni heri hiyo kuliko jamaa wanaokopesha mtaani kwa riba ya 20%
Kwanini unaficha ficha Mkuu? Wakati wewe mwenyewe ndiyo mkopaji? Puumbavu.Kama hujaset mipango yako fresh afu unavizia Advance Salary toka NMB utaumbuka jamaa hawa aminiki. Kuna njemba imelipia mzigo toka juzi ikaahidi kesho anakuja kumalizia kumbe alikua anavizia Advance Salary Sasa kule NMB wamegoma kutoa kanipigia simu nimpunguzie pesa aliyotoa ili enjoy Idd Elftr na familia. tuweke akiba ya pesa usile mpaka mbegu utaibika mjiniView attachment 1458646
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa ukipata dharura kukopa ni njia rahisi ya kupata fedha haraka. Lakini ni vema kutokua na tabia ya kukopa kwa vitu ambavyo sio dharura.Hatufanani katika majukumu ya kila mwezi, ni kweli unaweza kuwa na mradi, ila kuna wakati pesa zinahitajika zaidi. Hivyo kwa kuwa Shida hazifanani kwa wakati mmoja tutapishana pia wakati wa kuhitaji mkopo.
Mimi nilikua sichukui, hela hiyo ila sasa huu mwezi wa pili nachukua tena mapema tu, siyo kwasababu natumia vibaya hapana, mambo mengi yasiyokwepeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure kabisaaaa hata uwe na mwanamke anafanya KazFamilia haijui baba kaishiwa unaambiwa ngoja baba aje,au we si mwanaume pambana.Thus Mimi mwanaume mwenzangu akinililia shida huwa namsaidia sababu najua.Bila mwanaume Hakuna luku,maji,nauli,nk.Mjini unaamka pesa,unalala pesa.
umeua mkuu,mtu akiajiriwa tu anakimbilia kukopa yakimkuta anaanza kulaumu serikali,ni upumbavu wa hali ya juuwewe ndio pimbi kabisa,ufeli wewe kwenye maisha ulaumu mtu mwingine.Nani alikwambia kwenda kuchukua mikopo ukatumia hela ovyoovyo au ulijiona umekuwa billionea?πππ, just kidding!!