Njelu Kasaka live ITV


Mods: is it not possible to RESTRICT some irrelevant comments to the Approprite thread?.
 
we ACHEBE kuwa makini na ccm yako mawazo yako hayahitajiki ndani chadema chopa ilipotua kalenga kuna wachaga?chopa iko angani itatua sio mda mrefu ok
 
We ilikuwa lazima u comment??

Nini tatizo lako uelewa mdogo au ufuasi wa kisiasa? hata refa wa mpira huwa anakuwa ni mpezi moja kati ya timu anazochezesha, lakini hafanyi hayo ya kwako. Jaribu kuwa mjinga ni rahisi kuelimika
 
Nini tatizo lako uelewa mdogo au ufuasi wa kisiasa? hata refa wa mpira huwa anakuwa ni mpezi moja kati ya timu anazochezesha, lakini hafanyi hayo ya kwako. Jaribu kuwa mjinga ni rahisi kuelimika

Nielimike nini?
 

nyie ndo wasomi waliopewa mhadhara na liprofesa shivji,,kumbe ndo mana alijikanyaga na kurudia maneno yaleyale ya ccm lkn mkamshangalia na kushadadia hoja nyepesi kama zile
leo mzee wetu kafunua mawazo ya kikwete yanavyohusudu srkl tatu,we unapinga!!!
kweli ccm imeteka akili ya vijana

cc pasco,lusungo,chabruma,makonda
 
hizi ni porojo tu, rais wa zanzibar na tanganyika wawe na gesi mafuta na dhahabu, rais wa muungano awe na jeshi bila mafuta na gesi siatamtimua mwenzie ili nayeye afaidi ndo jk alikuwa akimaanisha.

hivi mkileta hoja za kuboresha kwenye vyanzo vya mapato muungano hautaimarika??
au mpaka mmlazimishe srkl mbili wakati zimeshindikana!!!
 
Mzee Njelu Kasaka ni mwana ccm lakini ameongea kisomi na siyo kama makada wengine wanaoimba "zidumu fikra za m/kiti". Kitendawili ndio hiki: chama tawala kinajua kuwa hata wanachama wake wengi ndani ya CA hawakubaliani na msimamo wa serikali 2 na ndio maana wamebuni mizengwe ya kura ya wazi ili kuwadhibiti! Wanawaambia kwa vile wamepata ulaji kupitia chama hicho basi hawaruhusiwi kujitegemea kimawazo; wao ni watumwa wa chama! Dhambi hii haisameheki na itawatafuna ccm. Binafsi najiuliza, jambo kama hili linawezaje kufanyika ndani ya nchi inayojidai ni ya demokrasia, tena wakati wa kutunga katiba ya nchi! Hapa tulitarajia kila mjumbe afanye uamuzi wake wa busara na kama ni kura basi apige kwa siri. Watanzania kwa ujumla wao wanapaswa kukataa udikteta huu. Wanaharakati wako wapi? Je, watu walioshurutishwa namna hii watakuwa na imani na mfumo huu kweli?. Hapana, hao ni mamluki tu. CCM inatengeneza mamluki na siyo wananchi wenye fikra pevu na maamuzi ya kujitegemea.
 

Uko ndotoni au ndio umeamka? Mkuu, mwenye busara huongea inapobidi lakini mjinga huongea ili mradi!
 
huyu mhuni tu mbona wakati wa nyerere alifyata mkia.Angekomaa wakati ule tungemwelewa.
 
Tunataka watu wenye fikra huru kama Njelu sio wale wanaongozwa kama misukule ambao utafikiri ubongo ulishatolewa vichwani eti sera ya chama ni serikali 2!
 
huyu mhuni tu mbona wakati wa nyerere alifyata mkia.Angekomaa wakati ule tungemwelewa.

Wanafiki ni watu wabaya sana, siku zoote alikuwa wapi...? apotoshe wale wakimbia na bendera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…