Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,825
- Thread starter
-
- #761
Nawolewa bhana
Siwezi kuwa single milele
TWe Karibu USA bhana, ndo kutakuwa home
Umemuaga sasa
Usiniongeleshe tena
Acha hizo bhanamm naleft kesho lkn,bado Nina mda
Acha hizo bhana
Pamoja na kushinda kwenye uzi wako una left???
Wowa basi mie ntakushinda ujueHewaala.
Nitakaribia. Na mimi nawowa bwana nimechoka kujioshea vyombo
Huyu binti wa kiarabu anaaga kuelekea wapi?
HahahaNdio nawajua sanawapo huku wengi tu
Mimi ndiooHa ha ha ha wewe huyoo
Lol!!!Siri yako
Utashangaa tu
Sakayo removed.....
Afu nimezimiss sana PM zako ujue...We Karibu USA bhana, ndo kutakuwa home