Kiukweli wanawaumiza sana wanafunzi,nadhani ndiccho chuo kichelewacho haswa katika kuwapatia wanafunzi hela za kujikimu. Ni jipu haswa.
Kuna siku wanafunzi walitaka kuleta zengwe,wakawaambia mpaka saa nane hela zenu zitakuwa tayari kwenye account zenu lakini cha kushangaza mpaka saa sita wanafunzi wote walikuwa tayari washapata hela.
sasa jiulize,walikuwa wanasubir shari liibuke ama walikuwa wanawapima wanafunzi?
Ipo haja ya BODI YA MIKOPO kufuatilia ugawaji wa fedha hizo punde tu baada ya kuzikabidhi kwa loan officers wa vyuo husika.