ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 14,102
- 27,806
Mkuu wewe ni Auto electrician?Aseee pole,.fundi wengi hawajui kusoma wiring diagram za magari so wanafanya kazi kimazoea...ukijua soma wiring diagram na kua na natural intelligence ya kutengeneza logic kichwan kuhusiana na tatizo husika basi tatizo lina sortika kirahisi..shida fundi wetu hata intelligence ya kuweza ku generate scenario zinazohusiana na tatizo husika hawana matokea yake approach wanayotumia kutatua tatizo inakua si utengenezaji bali uharibifu.
Kumbuka hapa Bongo hatuna mafundi tuna parts changer tu.. yaan wazee wa ku replace lakini ku diagnose issue mpaka ukapata uundani wa kitu(hasa electrical problems na intermittent car problems ambazo zinatokea occasionally...these kind of problems very rarely kua solved na hawa mafundi wetu.. because of these issues niliamua ku any advanced DIY person ninae fanya project zangu binafsi kwakua mafundi wetu ni changamoto.
Mkuu hapo kwenye 30000 na 50000 nafikiri oil isingekuwa biashara huku mitaani,by the way unatumia oil gani ya km 30000?Gear box ya hii gari wengi wanaua kwasababu ya hydraulic wanazoweka.. either wanaweka hydraulic isiyo sahihi(NS-2) au wnaweka hydraulic hafifu na sio kwenye level yake inaYotakiwa...lakini pia hzi gari zinatumia gear box ya belts isiyokua na gear za menomeno (yaan CVT transmission/continuous variable transmission) sasa watu wengi hawajui namna ya kuishi na transmission system (gearbox) hii ndo maana wanaziua..angalia hata Toyota zinazokuja na gearbox ya CVT mfano ist new,sienta,rumion, belta, ractis,vitz,premio/allion new, utakuta zipo na same problems why because of putting wrong transmission fluid....jaman always weka transmission fluid recommended na manufacturer pia avoid frequent changing ya transmission fluid... change at least after every 30,000km kama unamatumizi heavy ila kwa matumizi ya kawaida unaweza change kwa interval ya 50,000km... Tunza gari likutunze
Kulikuwa kunatatizo la mfumo wa taa za chini .taa zake zinauwezo wa kujiwasha usiku na giza kali bila kuziwasha na kuzima.
sijui kafanyeje !
Tukiwaambia hamna gari humo muelewe. Xtrail imezingua sana watu ila ubishi ukazidi reality. Sahizi Dualis ni tiket ya motoni tu. Anytime mnakaangwa
Ina hela kwa gari za Nissan na landrover tu ila Toyota utakufa njaaNataka niingie veta nkasome kozi ya umeme wa magari. Nataka nije niwapiku mafundi uchwara. Vp huko mtaan hii kozi ya umeme wa magari ina hela??
Siongelei oil,na ongelea transmission fluid.Mkuu hapo kwenye 30000 na 50000 nafikiri oil isingekuwa biashara huku mitaani,by the way unatumia oil gani ya km 30000?
Ninavyotafuta pesa kwa shida hivi alafu ninunue gari iwake moto aisee ntapata ukichaa
Chukua million 13 yako haraka kabla wabongo hatujaziua kama ilivyo kwa honda. Gari za hovyo za Japan kwa ishu za umeme ni Honda na Nissan.View attachment 2489454
Tuuze sasa au
Mkuu tumia transmission oil hii 50,000Km hutojuta recommend kwa magar ya Toyota subar n.k som vzr zko fake hiyo org ni TSHS 100,000 had 120,000 TSHMkuu hapo kwenye 30000 na 50000 nafikiri oil isingekuwa biashara huku mitaani,by the way unatumia oil gani ya km 30000?
Imagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....Fundi Chidi anakwambia ukibadili oil ya engine mara 3 ya 4 ndio unabadili oil ya gearbox tena.
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa kila baada ya kilometre 10,000 unabadilisha transmission fluid. Ni ukichaa
Interesting..... Hii ni universal transmission fluid?Mkuu tumia transmission oil hii 50,000Km hutojuta recommend kwa magar ya Toyota subar n.k som vzr zko fake hiyo org ni TSHS 100,000 had 120,000 TSH
View attachment 2489470View attachment 2489471
Itakuwa nissan hio bila shakaImagine.. people dont know kwamba gearbox inafanya kazi kwa njia ya friction (ambapo kupitia clutches ambazo ndo zina friction materials kwa ajili ya iu transfer power to wheels..sasa with time hizi frictional materials huenda zinaisha but zikiisha zile debris za frictional materials zitabaki kwenye mzunguko wa hydraulic so kama hydraulic haibadilishwi so frequent zile debris zitasidia kutengeneza friction between clutches surfaces na kusaida ku re enforce clutches ziweze kusafirisha power ya engine to wheels but uki replace tu fluid (transmission fluid) unaweza jikuta unaleta tatizo la transmission slippage unaangaaa gari unakanyaga mafuta haiendi...why transmission ina slip..na ndo maana manufacturer wanakuambia under normal driving conditions usibadilishe kabisa transmission fluid. But under extreme conditions hizi transmission fluid hu oxide kwa kuungizwa na joto kali matokeo yake density yake hushuka na kushindwa kutengeneza pressure ya kutosha kusukuma clutches au ku-hold friction(kwa gari za cvt) hivo kwa case hii inakubidi ubadili transfer fluid...na sio haya mambo fundi anakuambia badili gearbox oil(transmission fluid) kila ya service 3. HaTari sana..(na mtu akibadili anatia Lubex au unamsikia nimeweka transmission fluid ya Castrol mara Total unabaki una mshangaa kawekaje hizo fluid kwa gari ina taka T-iv, cvt fluid or Ws, DSG....
Mie kimeo changu nilibadili transmission fluid wakati kina km 110,000 sasa hivi kina km 230,000 (kinatumia CVT-TC) (by the way napenda sana gari yenye transmission ya CVT)
Unatokea dirishaniHuenda mafundi wetu hawaelewi mifumo yake ya umeme wanaifojifoji hivyo kupelekea hilo tatizo. Just sayn.
Jamaa ana bahati maana milango ingekuwa locked na ikagoma fu guka ndo basi tena
Utakuta lilitumika miaka 10 japan bila tatizoHilo gari lilikuwa used japan au brand new?
Kabisa yaani.Ninavyotafuta pesa kwa shida hivi alafu ninunue gari iwake moto aisee ntapata ukichaa
Mkuu nyundo utaitumia kama haujapata mshituko wa ajali na akili yako haija stuck!Inabd kutembea na nyundo kwenye gari kwa ishu kama hizi
Bro umesema safi sanaa.Gear box ya hii gari wengi wanaua kwasababu ya hydraulic wanazoweka.. either wanaweka hydraulic isiyo sahihi(NS-2) au wnaweka hydraulic hafifu na sio kwenye level yake inaYotakiwa...lakini pia hzi gari zinatumia gear box ya belts isiyokua na gear za menomeno (yaan CVT transmission/continuous variable transmission), ambayo inafanya isiwe gearbox nzuri ya kuhandle too much power hasa kwa wale maniac/rough drivers wanaotaka ndani ya sekunde kafika speed 70, sasa watu wengi hawajui namna ya kuishi na transmission system (gearbox) hii ndo maana wanaziua..angalia hata Toyota zinazokuja na gearbox ya CVT mfano ist new,sienta,rumion, belta, ractis,vitz,premio/allion new, utakuta zipo na same problems why because of putting wrong transmission fluid....jaman always weka transmission fluid recommended na manufacturer pia avoid frequent changing ya transmission fluid... change at least after every 30,000km kama unamatumizi heavy ila kwa matumizi ya kawaida unaweza change kwa interval ya 50,000km... Tunza gari likutunze
Kioo cha gari ni part ya ku enhance structural strength ya bodi ya gari hivo kukivunja hasa ukiwa upo ndani huwa ni shughuli kidogo...kina utaalamu wake wa (vioo vya gari vya milango na buti la nyuma ni tempered glasses hivo hakivunjiki kizembe kwa kukipiga hata kwa nyundo sometimes, na kioo cha mbele ni double Glass yenye gundi ndani yake) so kuna device maalumu huwa inatakiwa itumike kukigonga kioo kwenye angle fulan then kinashuka chenyewe (hii ni kwa tempered glass) but cha mbele na chenyewe nika design yake yakutoka tofauti vingine vyote.Unatokea dirishani