wana jf leo mapema kabisa niliwahi hosp niliangalia BP ilikuwa 120/80
nikafanyiwa
ESR test
uric Acid test
ASL test na
RF test
vipimo vyote vilionyesha sina tatizo ila mkono bado haujanyoka na mguu wangu wa kulia huo huo nao umeanza kuniuma kwenye kifundo cha mguu je hamna mwana jf mwenye phd anisaidie?