Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?

Kwa mbaali naskia harufu ya watu kuingizwa mjini........
 
Isije ikawa DECI nyingine, maana Wabongo kwa kubuni njia za kupata pesa za ujanja ujanja hatujambo...
 
Watanzania tumekua wajinga sana. Inasikitisha kuona / kuja kusikia watu wametapeliwa kizembe namna hiyo.
 
Waongo hao hawana ofisi kigamboni hayo maeneo ndio nakaa mimi hamna kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…