AZIZI ALLY SULTAN
Member
- Dec 18, 2019
- 10
- 5
Habari,
Poleni na majukumu ya kila siku..
Naomba kuuliza eti maumivu katika bega la kushoto kugosheka kama unagosha vidole na kuwa na maumivu makali ni ugonjwa gani au kama mtu aliwahi kuumwa alipona kwa njia gani?
Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukumu ya kila siku..
Naomba kuuliza eti maumivu katika bega la kushoto kugosheka kama unagosha vidole na kuwa na maumivu makali ni ugonjwa gani au kama mtu aliwahi kuumwa alipona kwa njia gani?
Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app