Nini mustakabali wa chadema

Tazama wabunge wa upendeleo wa chadema utapata jibu, katembelee ofisi za chadema utapata jibu, msikilize Nassari utapata jibu. Marafiki zao wa nje ni CDU, utapata jibu.

Juzi juzi Slaa katoka Vatikan, utapata jibu.
Wengine mnahitaji maombi zaidi
 
Wakristo30 Waislam 9 Jumla 39. Hapo si wote wenye majina yakiislam niwaislam.Nimewatazama kwa majina tu,na hii katika asilimia ni 9/30 x 100 =30% ya viongozi wote.Kwa maana 70% ni wakristo,Je 30% na 70% nani wenye maamuzi? Sijagusa wabunge bado na wanachama pia! Ukifika huko hali inatisha sana. CDM na CDU !?
 
tazama wabunge wa upendeleo wa chadema utapata jibu, katembelee ofisi za chadema utapata jibu, msikilize nassari utapata jibu. Marafiki zao wa nje ni cdu, utapata jibu.

Juzi juzi slaa katoka vatikan, utapata jibu.
kwani kikwete hakuwahi kwenda vatican...? Na akamwalika pope kuja taznzania..........?
Je kuna ubaya gani kwenda vatican...kwani vatican ni kuzimu....?
Jibu......
 
Idadi ya Waislam na Wakristo sio tija. Kwani wanaenda kwenye mhadhara wa dini jamani. Tubadilike
 


Kweli umekosa kazi wewe, yani hapo ndio umefikiri mpaka umefika mwisho? Kweli kazi tunayo.
 
Hivi ribosome na zomba wanauhusiano gani mbona ukimquote zomba anatokea ribosome na hii nimeiona mara nyingi
 
Kama huna elimu au ubongo wa kufikiri waweza kuwa mwehu, kichaa, taahira au hayawani. Mbona sijaona majina ya waabudu chini ya miti, kihindu, wamang'ati wanaoabudu makorongoni na kutema mate juu ili mvua zinyeshe na pia wasiokuwa na dini kama akina Kingunge ngombale Mwiru nk?. Udini uko CCM, kwa urahisi wanawaunga mkono uchomaji wa makanisa Zanzibar na kuwatuma viongozi wa dini uchwara kuunga mkono tabia hiyo badala ya kukemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…