Hao Madaktari watamtibu tu wakati PF. 3 ikifuatiliwa, unachotakiwa waeleweshe vizuri
Mfano ajalizote za mabasi au magari na pikipiki sijawaiona wakiitaka PF. 3 kwa abiria 65 ndipo wawatibu, na kwa ajali ya pikipiki lazima mpo zaidi ya mashuhuda wa2
Tatizo linakuja km Mgonjwa kadungwa risasi (kitu chennye ncha kali) huenda alikuwa jambazi, huenda anatafutwa kwa kuvunja mahali nk hii husaidia kuwadhibiti wahalifu wasitibiwe