Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Salaaam wakuu Eshima mbele samahani naomba kuuliza nipate Masada wawa taalam wetu humu nini kinacho changia uso kuwa mkavu nakuwasha ??
Natiba yake niipi ili kurejea kawaida coz Nina kitu Kama mwezi sasa uso unawasha nakuwa mkavu niliambiwa namafuta mengi ivyo nitumie lotion flan nimetumia ila Naona ndio imezidisha
Natanguliza shukraan
Natiba yake niipi ili kurejea kawaida coz Nina kitu Kama mwezi sasa uso unawasha nakuwa mkavu niliambiwa namafuta mengi ivyo nitumie lotion flan nimetumia ila Naona ndio imezidisha
Natanguliza shukraan