godfrey_avya
Senior Member
- Feb 25, 2014
- 131
- 24
Wakuu nimevimba jipu sehemu ya mkono wa kushoto na ndyo nautegemea kwa kila kitu
Jipu hli lilianza siku ya jumamosi iliyopita ni kama kudungu tu kidogo ambacho hakiumi baada ya siku nne mara mkono ukaanza kuvimba ilinibidi nivumilie kwa sababu namitihani na kuikosa siwezi.
Keshoyake nikakitoboa mana kilionekana kijipu.
mkono ulivimba na nikaambiwa nisubiri mpaka kiive
Jana nilikamua nikatoa kile kiini cheupe.
Jioni nikaona usaha unatoka nikaukamua.
leo namka nakuta mkono umevimba vidole vyote na pale kwa juu pamevimba na panavuta.
Leo hakuna hospitali iliyo wazi ila mkinipa tiba ya kupunguza uvimbe huu ili niweze kuandika kesho nitakwenda hospitali
thanks in advance
Jipu hli lilianza siku ya jumamosi iliyopita ni kama kudungu tu kidogo ambacho hakiumi baada ya siku nne mara mkono ukaanza kuvimba ilinibidi nivumilie kwa sababu namitihani na kuikosa siwezi.
Keshoyake nikakitoboa mana kilionekana kijipu.
mkono ulivimba na nikaambiwa nisubiri mpaka kiive
Jana nilikamua nikatoa kile kiini cheupe.
Jioni nikaona usaha unatoka nikaukamua.
leo namka nakuta mkono umevimba vidole vyote na pale kwa juu pamevimba na panavuta.
Leo hakuna hospitali iliyo wazi ila mkinipa tiba ya kupunguza uvimbe huu ili niweze kuandika kesho nitakwenda hospitali
thanks in advance