GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,852
- 109,552
Nipo hapa Kwetu Mkoani Gisenyi nchini Rwanda na hakuna Ajali yoyote ile. Ni Ajali gani imetokea na wapi?Popoma utapata akili lini?
Watu wamekufa upo hapa unakejeli kwani wewe hujawahi kufiwa
Kuwa mstaarabu unazudisha machungu kwq familia za wafiwa.
Kwani ajali zote ni kafara
Nadhani shule haijakusaidia upo unaamini ushirikina
Tumbafu kabisa popoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uliwahi Kuzimiliki lini hizo Akili?Wee jamaa huna akili ata moja..Leo nimeamini wasemavyo watu
Shughuli imeshamalizika.Kazi ipo.
Mkuu hii kweli kabisaJuzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.
Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
HahahaKwani jini huwa hali damu za viongozi?
Mkuu huwa hamjui kuheshimu misiba ya watu? Unaandika kama aliekufa ni mbuzi.Juzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.
Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
Genta ulisema mwezi Ramadhan majini hayafanyi ulozi au umesahauJuzi tumeanza kwa kutoa Sadaka kwa Watoto Yatima na Wasiojiweza na Leo Alrajiri Jini ameshashibishwa Chakula chake pendwa cha Damu huku Watu Maalum wakifuata Kitu fulani Ajalini ambacho Babu alisema kyinahitajika na baada ya kupatikana sasa Jini Kafurahi mno hivyo Farao hatoamini Macho na Masikio yake pale Temeke.
Wa leo hupenda Damu za Ajalini kwa Mafanikio yake na wa Kesho hupenda Maiti hasa kwa Kuifukia Ufukweni au Uwanjani.
Hahahahaha....kasahauGenta ulisema mwezi Ramadhan majini hayafanyi ulozi au umesahau
Hahahahaha....kasahau