machanganyiko wa matunda hauna madhara mkuu, sema tu kama utataka kula na chakula ndio utofautishe muda angalau nusu saa kabla.
Kwa maziwa, fresh ni mazuri zaidi kiujumla, ila maziwa mtindi huwa yanakuwa yameanza kumeng'enywa hivyo ukinywa mwili hautumii nguvu nyingi na ni mazuri kwa wagonjwa hasa magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Sent using
Jamii Forums mobile app