figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,540
- 62,053
ningekimbiza saraM mpaka nakamata,nakimbiza mayasa mpaka nakamata,namfuata bebiii nakimbiza mpaka nakamata,husninyo nakamata nampigia pande PAW,Angel msoffe nakimbiza mpaka nakamata,X-GIRLFRIEND nikikamata nampigia pande painkiller,lizzy nakamata nampigia pande THE BOSS,dena amsi nakamata nampa krolokwin,1lady kimbiza kamata wewe,asha dii nakamata nampigia pande tusker baridiii.kisukari nakimbiza nakamata.ningekua jogoo sijui nani angekwepesha.mia
<br />Paw hebu amka...
umeona eeh..!!manachekesha kweli.ha! ha! ha! ha!.miaJibu hilo,teh teh tehee!
but nakamata.miaungekuwa jogoo?ahaa nimeelewa kumbe we ni mtetea teh!
sana tu.miahapo sio jogoo lakini unakamata</font>..........
hahahahaaa....!!miaUngekua jogoo ungekua umeliwa idd ya juzi
hapana.mi mtu.miaWe mtetea?
mkuu usiogope.jiamini.miapita tu hali ya hewa hapa imekaa kiban zaidi..
hahahaaaa....wewe teja kweli tena mdeadly.njoo lakini uangalie usipandwe wewe.miaungekuwa jogoo, jogoo...anyway, kwa kuwa si jogoo basi ni mtetea, hivyo unapandwa na jogoo jogoo! na mimi ni jogoo, ntakutafuta nikupande.
<br />Ungekuwa jogoo, ungekuwa umeishafanyiwa tambiko haaaaaa