Kitabu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 313
- 29
habari zenu wanajamvi. ninauza kiwanja changu, kina ukubwa wa hatua 20x20 kwa bei ya Tsh 15,000,000/- maongezi yapo. kipo kerege bagamoyo mita 100 toka barabara kuu ya dar bagamoyo,umeme upo karibu,huhitaji hata nguzo,maji ya dawasa yanapatikana karibu kabisa na hapo. panafaa kwa kujenga frem za biashara au nyumba ya kuishi. kwa mawasiliano tumia namba hii 0717 166 455