Ninauza Eneo/Kiwanja Changu (Hungumalwa)

Ninauza Eneo/Kiwanja Changu (Hungumalwa)

BwanaSamaki012

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
237
Reaction score
351
Ninauza eneo/kiwanja changu chenye ukubwa wa heka tatu (3 acres). Eneo hili linafaa sana kwa ajili ya ujenzi wa makazi, shule, au miradi mingine mbalimbali.

Eneo lipo mkoa wa Mwanza wilaya ya kwimba kata ya Hungumalwa, kitongoji cha Mwajikuga, karibu sana na stand, takriban kilometa 1 kutoka barabara kuu kuu.

Umbali kutoka eneo hili hadi Jijini Mwanza ni kilometa 87, na hadi mjini Shinyanga ni kilometa 80, hivyo ni eneo linalofaa kwa watu wanaotaka kuwa na makazi au biashara katika maeneo ya karibu na miji mikuu.

Eneo lina huduma zote muhimu kama maji na umeme, hivyo linatoa mazingira mazuri kwa maendeleo yako.

Bei ya kiwanja chote ni shilingi milioni ishirini (Tsh 20,000,000).

Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali piga simu au tuma ujumbe kwenye nambari hii: +255614287063.
 
1434.jpg
 
Hivyo vijiji ulivovitaja vipo Palestina au Kenya? Umeandika as if woote tunavijua hivyo vijiji.
 
BWANA akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako ayajibu mashauli yako yote

Zaburi 20:4
 
Kumbe mwanza bado kijijini kabisa.Eneo kubwa hivyo Kwa shilingi milioni 20 tu.kumbe Dar tunabanana tu pasipo na sababu za msingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom