Mwigamba son
Member
- Jan 11, 2012
- 27
- 6
wana JF kama kuna mtu anamfahamu mahali ambapo naweza kumpata daktali bingwa wa ngozi (dermatologist) anitaarifu maana fungus zinatishia maisha yangu . Ni mwaka sasa nimekuwa nikienda hospitali kupimwa na kupewa dawa lakini bado fungus zimeendelea kusambaa. zaidi ya hapo nimechomwa sindano kadhaa lakini tatizo bado.
naombeni mawazo yenu nifanyeje?
naombeni mawazo yenu nifanyeje?