Possible problemsHabari wa JF. Ndugu yenu hapa ni wiki sasa nasumbuliwa na maumivu ya nyonga . Mwanzo nilianzia kuumwa na kiuno na nyonga ila kwa sasa kiuno kipo vizuri kilichobaki ni nyonga kuuma. Maumivu yapo ndani na nje kwenye misuli ya kuja kuunga na kiuno ina kuwa kama inakaza, kuna dawa ya asili ambayo nimetumia ndo nikapata afadhali ya kiuno ila kwenye nyonga kama hainisaidii .
Msaada ninaohitaji ni kwa mwenye kufaham nikienda mhimbili nikawaone wataalam wa kitengo kipi ndo wanaweza kunitibu hili tatizo.
Hili tatizo lilianza taratibu wiki mbili sasa zimekamilika .wiki ya kwanza ilisha nikiwa na endelea na kazi niliyokuwa naifanya wiki iliyofuata ambayo ndo tumimalizia jana maumivu yakaongezeka hadi nikashindwa kuendelea na kazi maana maumivu yalienea hadi kiuno kikawa kinaniuma na ikiwa kazi yenyewe ni yakutumia nguvu , nikaenda kupima U.T.I nikakutwa ninayo nikachukua dawa nimetumia kiuno kikarudi katika hali yake ila maumivu ya nyonga ndyo yaliyo bakia.Ok! Je unadalili nyingine mf. Kusikia maumivu wakati wakukojoa au kuvuta kwa korodani au zinazo fanana na hizo dalili.
maumivu wakati wa kukojoa au kuvuta kwa korodani hapan labda kwa mbali nani mara chache sana sehem ya haja kubwa muda mwingne ndo nahic kuvuta kidogo.Ok! Je unadalili nyingine mf. Kusikia maumivu wakati wakukojoa au kuvuta kwa korodani au zinazo fanana na hizo dalili.
Nashukuru kwa kusubiri nilitoka nje ya mji kidogo, basi kuna uwezekano hujapona vizuri UTI vizuri, nitaku-PM ili nikupe suggestions na options ili upate kuondokana na hili tatizo.maumivu wakati wa kukojoa au kuvuta kwa korodani hapan labda kwa mbali nani mara chache sana sehem ya haja kubwa muda mwingne ndo nahic kuvuta kidogo.
Ulipona hilo tatizo mkuuNitashukuru sana mkuu.
Mkuu kwa faida ya sisi wengne naomba useme iyo suggestions ili na sis uwe umetusaidia pleaseNashukuru kwa kusubiri nilitoka nje ya mji kidogo, basi kuna uwezekano hujapona vizuri UTI vizuri, nitaku-PM ili nikupe suggestions na options ili upate kuondokana na hili tatizo.
Sijui nini kimetokea....mbona watu wengi sana juu ya hili tatizo...Habari wa JF. Ndugu yenu hapa ni wiki sasa nasumbuliwa na maumivu ya nyonga . Mwanzo nilianzia kuumwa na kiuno na nyonga ila kwa sasa kiuno kipo vizuri kilichobaki ni nyonga kuuma. Maumivu yapo ndani na nje kwenye misuli ya kuja kuunga na kiuno ina kuwa kama inakaza, kuna dawa ya asili ambayo nimetumia ndo nikapata afadhali ya kiuno ila kwenye nyonga kama hainisaidii .
Msaada ninaohitaji ni kwa mwenye kufaham nikienda mhimbili nikawaone wataalam wa kitengo kipi ndo wanaweza kunitibu hili tatizo.
Kwa mwenye changamoto anijuze ni mshauri kila mtu na maelezo yake kutokana na stage aliyopo kua free call 0712553826 it will be my pleasure to hear from you. Anytime 24hrsMkuu kwa faida ya sisi wengne naomba useme iyo suggestions ili na sis uwe umetusaidia please