Hivi kweli taasisi inatoa tenda kwa taasisi nyingine kuwafanyia watu usahili halafu mwisho wa siku watu wale walioitwa kuja kwenye usahili huo hawawapi kazi wanampa kazi mtoto wa bosi wa taasisi hiyo ambaye hata kwenye usahili hakuwepo wala haja volunteer kufanya kazi kwenye taasisi hiyo ........hivi jamani kulikua na sababu gani ya kuita watu kwenye usahili.........Mimi namuachia Mungu!!!!!!!!!
Hawa jamaaa inabidi kuwareport.............HR Department/Directorate imekosa ethics kabisa...........haiwezekani taasisi inapoteza mamilioni ya shilingi kutafuta consultancy halafu wanakuja kuchukua mtu from no where........where is the value for money hapo kwenye hiyo consultancy.