Habari ya muda huu wadau. Mimi ni kijana mwenye miaka 27. Ni mzaliwa wa mkoa wa iringa lakini kwa sasa Nipo mkoani morogoro wilaya ya kilombero mji wa Ifakara. Nina shahada na nimeajiliwa hapa ifakara mjini. Natafuta mchumba ambaye lengo kuu ni kumuoa. Awe na sifa zifuatazo