The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
The secretary mzima wewe
Nimekumissije aise long time bana
Sometimes hutokea nafanya mazoez au nilale ila yan.sina habari na niko.fit sina hysteria wala kidude gani
halafu anapenda sana kutaja tarehe aonekane mkweli...Sijui ni mkosi, nuks ama balaa gani me mwenzenu. Nilipo mtongoza hakuniambia kua yeye ni mke wa mtu, badala yake aliniambia yeye ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho pele Mlimani na hapo anapoishi ni kwa shangazi yake. Ndipo Jana nilipo amua kumchukua na kwenda kulalanae home. Chaajabu leo hasbuh ananijia na njemba kama tatu zikiwa na mapanga kila mmoja mikononi nakuwaonyesha kuwa hapa ndipo alipo lala na mimi ndie nilie lalanae. Kama sio jirani zangu kuja kunisaidia hakiyanani wangeniua. Nashukuru jamaa (mumewe) ni muelewa na tumekubaliana kumalizana serkali za mitaa kwa mimi kumlipa 5000,000 kama fidia ya ugoni. Tatizo sio kumlipa, tatizo ni pakuzipata kiasi hicho kwa muda tulio kubaliana. Kwakweli sina uwezo wa kulipa pesa zote hizo ifikapo hiyo Ijumaa 24-1-2014, nilicho amua ni kuikimbia nyumba na kwenda kupumzika ninapo pajua mwenyewe. Ugoni gani wa kulipizana pesa huo? Tangu nizaliwe sijawahi ona kitu kama hicho, nilitegemea tutayamaliza kwa maneno tu lakini jamaa anataka nimlipe pesa zote hizo me nitazipataje? Aghh naama mji.
Dah! Tangu tareh 21/5/2014 sijaosha rungu langu. Ninamshawasha lakini ndio hivyo tena mshika dau analea. Wapi nitaenda kuchuja nafaka wakati nikubali kuapa ..........
hamna kitu hapa..........typical psycho....
[h=3]Nilielalanae Jana, leo kanijia na mumewe na mapanga mkononi[/h] Started by Kitoabu, 22nd January 2014 15:11
halafu anapenda sana kutaja tarehe aonekane mkweli...
Ashankum si matusi mama.Nasikia ukikaa muda mrefu mama yetu mkubwa anakua tyt sana kweli?
Sjui hata maana sijado siku mingi ila yawezekana mana unakua hujngiliwa sana
hamna kitu hapa..........typical psycho....
[h=3]Nilielalanae Jana, leo kanijia na mumewe na mapanga mkononi[/h] Started by Kitoabu, 22nd January 2014 15:11
halafu anapenda sana kutaja tarehe aonekane mkweli...
Aisee babafacebuku akija kukukamata ata fwaudu sana!
Lol ahhhha namtunzia
Kitunze kidumu mama!
Ebu kipige picha dada zetu kina Evelyn Salt Kim nana wapate shamba darasa.
Nakitunza sana
Kisa cha kubadili avatar?
Kweli karanga unazitunza aisee!
Haa ww ktk vitu sifagilii n.habar za kupiga picha.vikojoleo na maungio.yangu ya mwili