Nina 300,000 nahitaji note2 au s3

Naomba nikuuzie samsung tab 1 kwa bei hiyo kama utaridhia kaka.
Charger yake ndio imeharibika na charger yake ni sawa na ile ya samsung note 10. Tab yenyewe haina tatizo. Ina ukubwa wa inch 7. Kama utapenda 0759960313
 
Naomba nikuuzie samsung tab 1 kwa bei hiyo kama utaridhia kaka.
Charger yake ndio imeharibika na charger yake ni sawa na ile ya samsung note 10. Tab yenyewe haina tatizo. Ina ukubwa wa inch 7. Kama utapenda 0759960313
sorry ,nahitaji note 2 au s3
 
mimi nikuuzie tab note 3 kwa bei hio screen protector tu ndo ukipenda waweza badili tu
 
Arcad Atmos umefanikiwa? Kama kuna mtu unamfaham niunganishe nae nataka moja kati ya hzo kitu
 
Na mm nahitaji note 2 kwa 300, kama kuna raia anayo anichek tufanye bisnes
 
Arcad Atmos umefanikiwa? Kama kuna mtu unamfaham niunganishe nae nataka moja kati ya hzo kitu

Kuna hii note 2 inauzwa 320000
Betri ndiyo haikai na chaji mdaa mrefu.
 

Attachments

  • 1412920775191.jpg
    93.1 KB · Views: 362
  • 1412920843382.jpg
    80 KB · Views: 330
inakaa na chaji muda gani kwa jinsi unavyofaham?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…