WANAUME TUU..KAMA WE WA KIKE UKIINGIA PUNGUZA MORALI.NI KIJANA WA 25-30 NIPO KWA UMRI WA KUOA AU KUWA NA WA MSIMAMO,NISEME NILIPOVUKA UMRI WA 24 nilijitambua uzur zaid haswa kwenye swala la mahusiano na aina ya mwanamke ninaweza kuishi nae,i mean awe na sifa gani au vigezo gani,i know th beauty is in th eyes of beholder.wakati navuka umri huo wa 24 teyar nilikua na relation na girl,as time goes nakuja ku2lia na kuwaza in details moyo wangu unahitaji nini,then roho na nafs na akil vikaniambia unapenda vi2 vifuatavyo,kuja kwa huyu girl wangu akawa amemis baath,naomba nisivitaje,nimekua na huyu mdada ukihesabu miaka hadi sasa uhusiano we2 ni almost 4 yrz,mi naogopa cna kuruka ruka,now nimekuja kukumbuna na mdada mwenye vigezo vyote nilivyotaka na nimempenda kwel wakuu,2na umri wa miez 8 fresh,hapo hapo yule wa mwanzo akidhan 2po pamoja ijapo anaobserv changes in evryday life,nakiri kukosea naomba nisaidiwe,nataka nibaki na mmoja haswa wa pili,tatizo nakosa ujasiri wa kumtamkia th long girlfrnd th truth,nahisi atapagawa,ikizingatia 2lizoeana mpaka 2na2miana hela pale mmoja akiwa hoi,yaani kifupi naumia ila napenda niish na the second one,now the problem is how can i tel her?KARIBUNI WAUNGWANA