Nimuoe yupi kati ya hawa?

chukua anaejupenda utajifunzia hukohuko kuoenda haya mengine utavunja ndoa tena kwa mara nyingine

ns uzee wako uko selective.
Katika ndoa iliyopita niliteseka Sana mkuu sihitaji yaliyopita yajirudie
 
Wewe ni mzinzi ndio Maana hata ukaachana na mke wako Sasa ujinga wako ume kuja kutu tangazia humu yaani mke wa mtu ana mimba Bado una mla na unatangaza tuna kuchunguza🙂🙂
 
Wewe ni mzinzi ndio Maana hata ukaachana na mke wako Sasa ujinga wako ume kuja kutu tangazia humu yaani mke wa mtu ana mimba Bado una mla na unatangaza tuna kuchunguza[emoji846][emoji846]
Mkuu anyway ahsante kwa matusi yako
 
Habari zenu wana mmu !
Binafsi niko poa ila kuna jambo linaniumiza sana akili. Kuhusu hatma ya MAISHA yangu kimahusiano.

1. Umedivorce?
2. Una date wasichana wa 2002?
3. Kigezo chako cha mke umtakae ni sex?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…