Ni aibu mpaka kwa wazazi wangu mkuu, mbwa husimlinganishe na binadamlea tu mzee mbona tunafuga mbwa anazaa na unaweka oda ya mabak buchan na hotelin na umjui baba mbwa,. Huyo ndio mwanamke kiumbe ambacho kikikupenda hukupa hata mtoto asie wako na kukuaminsha n wako
aibu yako itakua kubwa zaid utakapo muachia uyo mtoto na utaumia sanaa ksaikolojia mm nmekujibu k inteljens mana hata kwenye familia zetu za kiafrikausidhan wote mlioko ndan ya familia n watoto wa baba mmojaNi aibu mpaka kwa wazazi wangu mkuu, mbwa husimlinganishe na binadam
Mtoto hagombaniwiMlichukua vipimo vya DNA?
Je jina ndiyo huthibitisha kwamba huyo mtoto ni wako au siyo wako?
Kwa nini wasomi wa siku hizi hamna akili?
Fanya hiviNami naziona dalili hapa kuna kamtu kamekomaa kana mimba kana mimba ila kenyewe kanataka kutoa mm nimekaambia huwa sishiriki utoaji mimba na nitakaruhusu endapo tu kakinithibitishia mimba hiyo sio yangu maana ktk dhambi nisiyoipenda ninkuleleshwa mtoto wa mwingine.
Kamekubali kuwa hakatoi ila kwenye suala la mimba ni ya nani haswa hapo siri kanabaki nayo kenyewe yaani natamani nipate ujanja wa kukabana kafunguje ukweli mimba ni ya nani ila sijaipata hiyo mbinu
Hongera kwa hilo mkuu ulifanya jambo la uaminifu kanisaMwaka Jana nilikuwa napiga kazi kituo cha afya sehemu kuna mwanamke alikuja anataka kadi nyingine et ya mwanzo alikosea majina ya aliyempa ujauzito analeta noma
Nilivyo mhoji anaonekana kabisa anaenda kupiga mtu kichwani na kitu kizito
M nilikataa kumpa kadi nyingine maana sikutaka kushiriki uharamia
N.B kwenye hizo kadi wahudumu wa afya ambao sio waaminifu wanazifanyia biashara kwenye situation kama hizo
He! Hahahahaha huyo kama baba halali wa mtoto analitambua ilo na kashaambiwa kuwa mtoto ni wake basi apo hkn namna uyo mtoto sio wa kumng'ang'ania kakaToa ushauri mkuu ndio faraja kwangu
Ndo utu uzima huo, mlee tu akikua atakuwa wa kwako tena ni Minza!!! Mtoto wa kike we mlee tu ukikua anakuwa wa kwako au vipi!!kwahiyo nilee huku nikijua ni mtoto wa mwingne
Ah mwana wane, tangu lini mwanaume akawa na ujauzito bana, huo ni wa kwake. Ni wajinga tu ndo wanakubali kuambiwa "nina uja uzito wako"..Hiyo movie niko naendelea nayo hapa...dada mmoja wa kikurya anakomaa na mimi eti ana ujauzito wangu..
Mimi ilinitokea tulikua tunahudumia wanaume watatu ila mwanamke alikua bado anaishi kwao lakini mtoto alipokufa ndo nikajua ivo mana siku ya msiba kuna mama alisafiri akaja kwny msiba akasema mwanae ameshindwa kuudhuria msiba wa mwanae sababu kaenda masomoni, wafikwa wa msiba pale kwa mwanamke walistaajabu inakuwaje uyu mama anaongea hivi mbona mwenye mtoto yupo eneo la tukio na kashiriki hatua zote.Naomba niishie hapa..............Mwenyewe kuna demu kajifungua juzi tunahudumia wawili koo sikutaka hata kuuliza jina la kadi.
Koo hapo mmoja lazima atalia badae mm au mwenzangu
Mimi ilinitokea tulikua tunahudumia wanaume watatu ila mwanamke alikua bado anaishi kwao lakini mtoto alipokufa ndo nikajua ivo mana siku ya msiba kuna mama alisafiri akaja kwny msiba akasema mwanae ameshindwa kuudhuria msiba wa mwanae sababu kaenda masomoni, wafikwa wa msiba pale kwa mwanamke walistaajabu inakuwaje uyu mama anaongea hivi mbona mwenye mtoto yupo eneo la tukio na kashiriki hatua zote.Naomba niishie hapa..............