Mimi ni mwanamke mwenzako madame.ninachokiongea nakijua 💯 hakuna kigeni hapo.nikujiendekeza tu kwenye baadhi ya vituUtakua hutupendi wajawazito wewe
Sasa jirani nakuelewa sanaJirani natarajia hivyo Mungu katuagiza tukaijaze dunia
Adui wa mwanamke ni mwanamke.Mimi ni mwanamke mwenzako madame.ninachokiongea nakijua hakuna kigeni hapo.nikujiendekeza tu kwenye baadhi ya vitu
Weeeeee...... Jamani weweeeeeee😋Unajua nini?
Lengo langu limetimia, nilitaka utabasamu.
Mimi nikiona mjamzito nitafanya kila namna afurahi....ninapenda kuona mwanamke mwenye mimba sijui kwanini
Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubaliWeeeeee...... Jamani weweeeeeee
Adui wa mwanamke ni mwanamke.
Napenda sana mjazito, nitamdekeza hadi atakua anakumbuka na kutamani kutiwa mimba tena
Hebu umeache careenjibebe wangu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubali
Kama unayo niambie plz
Umesema asiye kisirani ee??mimi nilijua I nawapenda hata hao visirani😁Msweet: nasema kweli, nikionaga mjazito hasa asiye na kisirani nachanganyikiwa, nao ghafla huwa wanajikuta wananikubali
Kama unayo niambie plz
watoto ndo hawadhuriani sisi aisee acha kabisa.Usishtuke, watu wazima hawadhuriani!!
visirani hapanaUmesema asiye kisirani ee??mimi nilijua I nawapenda hata hao visirani
Siku nyingine usiseme adui wa mwanamke ni mwanamke kama unachagua wajawazito wa kuwapenda.
Siku ukimpenda na huyo mwenye kisirani basi adui wa mwanamke ni mwanamke Hallelujah
watoto ndo hawadhuriani sisi aisee acha kabisa.
Mwambie kama hakubali kufunga ndoa unaitoaNgoja nimjaribu nione au nipe mbinu za kumshawish gafla hiyo
Itakuwa unataka lile joto joto tu.Unajua nini?
Lengo langu limetimia, nilitaka utabasamu.
Mimi nikiona mjamzito nitafanya kila namna afurahi....ninapenda kuona mwanamke mwenye mimba sijui kwanini
Hapana mkuu sio kwa kukulaItakuwa unataka lile joto joto tu.
Ni kwa kufanyajeHapana mkuu sio kwa kukula
Nafurahia kuwaonaNi kwa kufanyaje
Acha wivu kwa mwanamke mwenzako, wewe kama ulichoropoa mimba ukiwa mwanafunzi ni wewe?Kitu ulikuwa unakitafuta na umekipata
Ushauri wa nini sasa hapo?
sante!!Unajua nini?
Lengo langu limetimia, nilitaka utabasamu.
Mimi nikiona mjamzito nitafanya kila namna afurahi....ninapenda kuona mwanamke mwenye mimba sijui kwanini