fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Gesi/vidonda vya tumbo.Kifua kinabana tu na kichwa kinauma sehem za katikati kuhusu dizziness , poor vision na nausea cjapata hayo matatizo
Unalicontrol je wewe yaan nipe hizo mbinu maana daah aiseGesi/vidonda vya tumbo.
Nilipitia hyo Hali,Regency Kila week nilienda kupima yote hayo mpaka Muhimbili.Alikuja jua mhindi mmoja ni gesi,mpaka leo nikajua Tatzo langu na namna ya kulicontrol
Nimeshapima nipo salama kabisaHiv kapime
Anza mazoezi kidogo kidogo hata kutembea umbali mrefu.....nilishawahi kuwa na hilo tatizo nikafika mpaka Jakaya Kikwete Heart Institute Muhimbili.....nikapima ECG na ECHO sikupatikana na kitu.....Naombeni ushauri ninatatzo la kifua kubana, iko hivo kifua kilinibana ghafla tangu mwaka Jana, nashindwa kupumua vizr , na kichwa kinaniumwa muda mwingine nakua nayaona mapigo ya moyo unadunda nikiwa nimetulia.
Jaman nimefanya vipimo kwenye hospital kubwa kama vile bugando na mhimbili lakin tatzo halionekan tatzo lenyewe ni hivi nikiamuka asubuhi nakuwa najihisi kabisa nipo vizuri ila kadiri ya muda unayoenda nahisi kuchoka na kifua kubana zaidi nimefanya vipimo kama vile ECHO, ECG , CHOLESTROL , INHALATION OF LUNG CAPACITY , DAM , OGD , X RAYS LAKIN TAtzo halijaoneka daah yaan hi hali inanichanganya kweli
Ww ulifanyaje labda kuepukana na hiyo haliGesi ipo kwa tu kwa tumbo ( GERD) kuna mtu nipo nae huwa Anahisi hivyo hvyo namwambia tu bado haijakolea Mana usingizi hutoupata cku zinavyozidi kwenda
Acid reflux inakuwa ni ngumu kuielewa ikianza nilishawahi kumfata doctor na kusema nna korona akacheka tu ndy akanambia nna Nini .
Wewe liliishaAnza mazoezi kidogo kidogo hata kutembea umbali mrefu.....nilishawahi kuwa na hilo tatizo nikafika mpaka Jakaya Kikwete Heart Institute Muhimbili.....nikapima ECG na ECHO sikupatikana na kitu.....
Limeisha Ila nimekuwa mtu wa mazoezi mpaka leoWewe liliisha
Ila vip ulikuwa unahic je wewe yaan nielezee labdaLimeisha Ila nimekuwa mtu wa mazoezi mpaka leo
Kifua kilikuwa kinanibana balaa......Ila vip ulikuwa unahic je wewe yaan nielezee labda
Wambie wakupime gesi/H,-pyroli Kisha kuna dawa watakuandikiaUnalicontrol je wewe yaan nipe hizo mbinu maana daah aise
izo dawa za ugonjwa gani?Question
Maumivu ya kifua ni upande wa kushoto?
Maumivu ya kichwa yana ambatana na nausea/dizziness/poor vision?
Anyways have
Prinzmental Variant Angina
Migraine
Tumia
Amlodipine 2.5mg or Nifedipine 20mg
Isosorbide dinitrate 10mg
For migraine tumia
Ergotamine or Sumtriptan
Sodium valproate
gesi inasababishwa na vyakula gani vya makundi yapi mkuuWambie wakupime gesi/H,-pyroli Kisha kuna dawa watakuandikia
Kifua kilikuwa kinanibana balaa......
naweza nikakaa nikasikia maumivu makali kifuani natulia jasho linanitoka baada ya muda hali ya kuumwa kifua inarudi tena........
Punguza ulaji wa vya mafutaWw ulifanyaje labda kuepukana na hiyo hali
Dawa gan manPunguza ulaji wa vya mafuta
Kama unakunywa pombe acha kwanza
Nilipewa dawa ya kuchanganya na maziwa kwa week mbili ikapoa sema kikubwa ule kwa wakati