Amen...
Nawasalimuni nyote...
Niwakati mwingine tena napenda kuwashukuru wana JF wote mlio changia ule uzi wng "Je namna hii naweza kupata mimba?"
kwa kweli nilikua naumia kwakua nilikua natafuta mtoto kwa siku nyingi bila mafanikio.
Baada tu yakuchukua uamuzi kuwashirikisha nilipata faraja kuu sana..
Madaktari walinishauri nile nn, nilale syle gn, nifanye wkt gn, wapo washauri na marafiki zng humu pia mlinishauri mambo ya rohoni zaidi na kunitia moyo. Hakika sikuacha ushauri ambao niliona unanifaa.
Leo ninakila sababu kuwashukuru kwa kua natarajia kuitwa mama mwaka huu!!!
Asante sana, Karucee, Smile, Sunshine, MziziMkavu, UNDENIABLE, asakuta same, Fadhili Paulo, bkubwa
Nawengine wengi ambao cjawataja kwa majina
Hakika mmeiondoa aibu yng,
Namshukuru Mungu kwa sbb ya kila mmoja.
Mbarikiwe, nawapenda sana.
woooooo jamani so.happy for u mwiteli-didy akijaila usikubali jf dkt aileeerr uwiiiiiiwachaga wanasema ngefilaaa uwinyiiyaani nitapiga ukunga harakaaaaahongera sana
Nawasalimuni nyote...
Niwakati mwingine tena napenda kuwashukuru wana JF wote mlio changia ule uzi wng "Je namna hii naweza kupata mimba?"
kwa kweli nilikua naumia kwakua nilikua natafuta mtoto kwa siku nyingi bila mafanikio.
Baada tu yakuchukua uamuzi kuwashirikisha nilipata faraja kuu sana..
Madaktari walinishauri nile nn, nilale syle gn, nifanye wkt gn, wapo washauri na marafiki zng humu pia mlinishauri mambo ya rohoni zaidi na kunitia moyo. Hakika sikuacha ushauri ambao niliona unanifaa.
Leo ninakila sababu kuwashukuru kwa kua natarajia kuitwa mama mwaka huu!!!
Asante sana, Karucee, Smile, Sunshine, MziziMkavu, UNDENIABLE, asakuta same, Fadhili Paulo, bkubwa
Nawengine wengi ambao cjawataja kwa majina
Hakika mmeiondoa aibu yng,
Namshukuru Mungu kwa sbb ya kila mmoja.
Mbarikiwe, nawapenda sana.
my dear, hongera sana na Inshaallah Mwenyezi Mungu akifanyie wepesi ktk kipindi chote cha ujauzito hadi kujifungua...ebu nipe maujanja na mie mwenzako nifanyeje maana nimetafuta mtoto na sijafanikiwa hadi leo!
hongera mpenzi usiache kwenda kliniki na ule kwa afya .... ubarikiwe wewe na mwanao ..