Nimemshauri Mara nyingi sana nimsindikize hospitali akapate tiba lakini hataki kabisaa unasema ye yuko fiti wakati Mimi naona hayuko fiti kabisaa, nikimshauri hata kufanya mazoezi hataki kabisaa kusikiaa, wakati yule mpenzi wangu alikua anapenda mazoezi na sometimes tulikua tunaenda wotee yeye huyu anapenda sigara na mikonyagi tu.haki ya mungu we mdada y usimshirikishe kuliko kufanya ulichomfanyia
Hata dakika 45 mbona ndogo sanaSasa mbona ametumia mda mchache tena? Dk 18 tu na dawa juu? Ilitakiwa angalau dk 45 hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni tangazo au! Hongera
Chai jabaa!![emoji23] [emoji23] [emoji23]mmh! hadi umefungua ID mpya kwa ajili ya huu ujumbe wako.
Sijaelewa umesema ni mchumba wako ambaye mna miezi miwili, sasa iweje tena ghafla kawa mume mnaishi pamoja hadi unampikia chai, mara umetoka kuoga akavuta baada ya dawa kufanikiwa na mengineyo!!!! ngoja niombe msaada kwa Jiwedogo na Mwifwa wanieleweshe.
AaaaggghhhhrrrrMwifa njoo...chai tayari
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahaaaDaaaah! Nyie ndio wa kunyea debe
Basi poleAaaaggghhhhrrrr
Nimeshiba bana!!
AhsanteBasi pole
PoaAhsante
Sasa utakuwa unamuwekea dawa kila siku au kuna plan bWa kwanza yule alikua anafika dakika ad 30 lakini hyu ye mwisho nne tu..ko alivofikisha hizo 18 niliona ni surprise kubwa kwangu
Popote utakapopata kinywaji usisahau kunikaribisha
Usijali...ntakukaribishaPopote utakapopata kinywaji usisahau kunikaribisha
Dk 30 kwa goal moja au Mawili?Wa kwanza yule alikua anafika dakika ad 30 lakini hyu ye mwisho nne tu..ko alivofikisha hizo 18 niliona ni surprise kubwa kwangu
Ndo mwanzo tu dawa ametumia siku 1 kaenda dk18 akitumia wiki ataenda masaa 2.Sasa mbona ametumia mda mchache tena? Dk 18 tu na dawa juu? Ilitakiwa angalau dk 45 hivi
Halafu asipoangalia atamuua hivi hivi kama masihara, mtu mwenyewe hafanyi mazoezi halafu anampa dawa za kuongeza kasi ya moyo, ooho atapata heart attack kufumba na kufumbuaWewe endekeza madawa tu, kuna siku atakunyæ badala ya kukojoa.