Nimelipa kisasi kudadadeki

gfsonwin, Pengine vyuo vikifunguliwa post za kitoto zitapungua humu...

Out of topic.....your previous Avatar PLZ...
jamani nitairudisha basi lol!
unajua nataman bodi iwanyime mikopo tena ili waje kule jukwaa la elimu na sredi za bodi huku wanatuzingua tu.
 
umejiuliza mko wangapi? Na ukimwi je? Kumbuka ukipanda zinaa utavuna humo humo uharibifu. Haya ni mambo ya kizamani sana na ni story za teens hizi!!!!

mwanaume wa kweli hutumia dume. So osihofu
 
Hizi ndio akili za watu wa chadema, mnasema kitu gani wakati bosi mkubwa nae alianza hivihivi na juzi kaamua kuchukuwa jiko moja kwa moja, UZINZI UZINZI chadema mtaacha lini, kuanzia mabosi mpaka wapiga kura wake ! puuuuu!

Wakati mwingine huwa naamini ni bora kuishiwa pesa kwani unaweza kukopa kuliko kuishiwa hoja!
 
Mkuu, kumla mke wa polisi si kujisifu maana waume zao mtandao ni mkubwa sana!!! Huwa kabla hujachemka na mke wa mtu chunguza mumewe ni wa calibre/status ipi? Hata hivyo mambo ya tulizana yameshaingia akilini mwako? Pale mko wangapi? Halafu wewe mleta mada usitake kuchafua CDM hawana historia hii, Na ingekuwepo ungekuta TBC1 wameshairusha. Haya mambo yako huko kwa wanaofumaniwa na wake za watu, kwa kina ustadhi. I doubt if you are a serioous CDM don!!!!
 
Wakati mwingine huwa naamini ni bora kuishiwa pesa kwani unaweza kukopa kuliko kuishiwa hoja!

Nadhani wewe ndio umeishiwa hoja, watu wanamsema huyu anazini ! sasa si ndio sera ya kaka mkubwa ?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…